Mikasa ya ajabu niliyoishuhudia kwa macho yangu

Sasa unamtukana mwanaume mwenzio kisa story ya chizi maarifa a.ka.a lwandamagere??,acha hizo mkuu
We mbona unajitia hatiani kizembe ivii.

Embu jitathmini mkuu utakosa vingi kwa mawazo hayo.
 
Anavoanzisha story tu angesema hayo yote kwamba akifeli bando tutakua tunainuana

Ameona watu mnashoboka sana ndio maana kafanya hivi mjifunze kuchukulia vitu kawaida

Mi nnacho mshangaa anasema kaamua kutoa ushuhuda ili watu tujifunze asa huko telegram sijui anatupeka kwa nini

Wewe mleta story kama ushawai kua na pesa nyingi na bado hukuwa na furaha ivyo vi buku buku haviwezi kukusaidia kitu
 
Mim naona jamaa aongeze dau kidogo buku ni ndogo mno ukilinganisha na utamu tunaoupata.

Mkuu magere popote ulipo, episode zilizobaki tunataka tulipie upya maana unatukosha sana dahhh.

Awamu hii pandisha dau liwe hata elfu 5.
We jamaa wengne buku tuliunga unga tu si unaona wengne wametoa na mipovu kabsa na wameshindwa kuipata iyo.
 
We bana vime msaidia akua na kodi ya mwezi huu kalipa through this buku mbona kasema wazi
 
Hakuna hata mmoja huko telegram tupate mrejesho wa hao walionyanduliwa?
 
Lwanda magere a.k.a Chizi maarifa
Usimfananishe chizi na lwanda ungekuwa uzi wa chizi nafikir mapema uzi ungekufa.

KwAnza uzi ulikuwa jukwaa lingine ukahamishiwa huku lakini msela alikomaa KUTUPIA TU

Uyo chizi uzi wake uliamishwa na uzi wenyewe akauzira
 
Usimfananishe chizi na lwanda ungekuwa uzi wa chizi nafikir mapema uzi ungekufa.

KwAnza uzi ulikuwa jukwaa lingine ukahamishiwa huku lakini msela alikomaa KUTUPIA TU

Uyo chizi uzi wake uliamishwa na uzi wenyewe akauzira
[emoji23][emoji23][emoji23]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…