Mikasa ya ajabu niliyoishuhudia kwa macho yangu

[emoji120][emoji120][emoji120]
 
Story inavyoonekana ni ya kweli sema mdau analia lia sana maisha magumu
 
Story inavyoonekana ni ya kweli sema mdau analia lia sana maisha magumu
Sawa yaweza kuwa ni story ya kweli lakini kuna chumvi pia, je wewe huja notice tofauti ya mwandiko wake kwenye story na comments zake? Kwenye story makosa ya kimaandishi ni kidogo sana au hakuna kabisa(Kumbuka anatumia simu kwa mujibu wake) lakini kwenye comments zake makosa ni mengi sana ili hali comment ni fupi kuliko story. Anyway all in all story yake iko poa na ina mafunzo.
 
Tulia wewe....saa hivi tupo kipindi cha maswali na majibu!
Jamaa anajibu maswali yote kwa ufasaha
 
Tulia wewe....saa hivi tupo kipindi cha maswali na majibu!
Jamaa anajibu maswali yote kwa ufasaha
Sijasema kuwa hajibu kwa ufasaha, nazungumzia uandishi wake wa story ni tofauti na uandishi wake kwenye comments zake. Kwenye comments kuna makosa kibao kama yangu na yako lakini kwenye story makosa ya kiuhandishi ni kama hayapo kabisa. Kumbuka anadai anatuma simu kuandika.... [emoji848][emoji848][emoji848][emoji848]
 
LWANDA MAGERE
umeacha watu wanashikana mashati, blauz na vitopu humu.

Ila uzi huu unaenda tu
Ha ha nimecheka sana eti uzi unaenda tu. Kimsingi sikua nimeingia huku toka uzi ulipohamishiwa telegram, Ila wabongo tunapenda sana slope povu lote kisa uzi umehamishwa, kuna raia mmoja humu (Ke) kila nikisoma comment zake ni kama kachafukwa mbaya
 
Huko michango imepamba moto huku story zinapungua mtakuja kujikuta mmebaki wenyewe nastory zikaishia hewani
 
Kwahiyo unatakaje kwa mfano mbona mna wivu Sana nyie tunga basi yakwako na wewe tutakuchangia
 
Unagubu
 
Mkuu wakikusikia[emoji23]utaoga povu
 
Acha wivu usituletee umaskini wako kwani hizo hela tunazo changa umewahi kutupa??
Acha kupaniki kijana au wewe na yeye lenu moja kama wacheza kamali, au ndio shipa la kimkakati limekuingia kiasi kwamba chochote anachowafanyia huko mmekuwa mbumbu
 
Acha kupaniki kijana au wewe na yeye lenu moja kama wacheza kamali, au ndio shipa la kimkakati limekuingia kiasi kwamba chochote anachowafanyia huko mmekuwa mbumbu
Kuna aliye walazimisha kusoma uzi wake? Yani buku linawatoa jasho kiasi hicho? Ngoja nikakulipie
 
Mkuu mbona umepanic kwa kitu kidogo sana hicho? Pia unapata wapi ujasiri wa kumwambia beberu kuwa ana gubu? Seriously!
Beberu hana akili za kushikiwa Kama hizi hivi ni lazima msome huo uzi? Kwanini msisimulie story zenu na nyie
 
Wewd umeamua kulikuza jambo bure, ishu ni uandishi wake katika kujibu comments ukilinganisha na uandishi wake katika kusimulia, sasa mambo ya yeye kushindwa kujibu maswali wapi na wapi na nani kasema hayo?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…