Watanzania mna nongwa.Mkuuu hapo kwenye kulipia 50 kuangalia banda la video sio kweli maana mpaka sasa una 34 umenipita miaka kadhaa hapo mimi nilikuwa na check movie banda la video kwa 30
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Watanzania mna nongwa.Mkuuu hapo kwenye kulipia 50 kuangalia banda la video sio kweli maana mpaka sasa una 34 umenipita miaka kadhaa hapo mimi nilikuwa na check movie banda la video kwa 30
Kwa kweli hii baskel angeitoa kabisa yan angeikatastori ya kipuuzi unatuambia kuhusu baiskeli inatuhusu nini sisi?
Au may be tuseme bei zinatofautiana mkoa kwa mkoaBei imeshuka baada ya tiivii kua nyingi
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] kama bongo muviiiPale mleta uzi anaposimulia mambo ya baiskeli mwanzo mwisho kwenye episode nzima!
View attachment 1651062
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Watanzania mna nongwa.
Poa za weweMambo?
Njema kabisaPoa za wewe
VyemaNjema kabisa
HahahaaaaaPale mleta uzi anaposimulia mambo ya baiskeli mwanzo mwisho kwenye episode nzima!
View attachment 1651062
Aisee tuheshimiane mkuu,hahah.[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] kama bongo muviii
Hahahah,Maarufu kwa jina la bridal mask mkuu.hii story ishakuwa tamthilia ya kikorea🥱🥱
🤣🤣🤣🤣Sehemu ya 12...
Basi, baada ya Mimi kunasa kwenye mtego wa bi mkubwa nilianza kujisemea kimoyomoyo kuwa Leo ndio siku yangu ya mwisho kuwepo hapa duniani maana zile hasira za bi mkubwa zilikuwa hazina mfano..
Aisee sitasahau siku ile nilicharazwa na ule waya yaani kile kichapo sikuwahi kukipata kilikuwa ni kichapo heavy Tena nikaambiwa asubuhi nikaitafute pederi Hadi niipate, Sasa kitu kilichonishangaza kesho yake asubuhi nilipo amka nikashangaa kuikuta pederi ipo pale pale kwenye ile baiskeli yaani ni Kama haikufunguliwa kabisa.....
Aisee nilishikwa na kitete nikajipa jibu kuwa kwenye hili lazima ashura atakuwa anahusika......hahahahaaaaaaa....!