Mikasa ya ajabu niliyoishuhudia kwa macho yangu

Mikasa ya ajabu niliyoishuhudia kwa macho yangu

Najua watu hawamuamini haya ninayoandika ila ni ukweli yalitokea kabisa. Wengine wanafanya utani wanadhani mimi nimejitungia tu.
We ndo ulisusia uzi kisa Mods wameuhamisha? Vip ulikuwa na LwandaMagere kipindi hayo yote yanatokea au yule Dada muuza phamarcy ndo alikuwa anakuhadithia kupitia wale viumbe wake?
Au wewe ndiye LwandaMagere mwenyew una ID mbili, maana umeandika as if we ndo unaisimulia huo mkasa wa Lwanda
 
ukishafilisika Ni ngumu sana kurudia utajiri hasa Kama utajiri wenyewe ulikuwa wa waganga.
 
We ndo ulisusia uzi kisa Mods wameuhamisha? Vip ulikuwa na LwandaMagere kipindi hayo yote yanatokea au yule Dada muuza phamarcy ndo alikuwa anakuhadithia kupitia wale viumbe wake?
Au wewe ndiye LwandaMagere mwenyew una ID mbili, maana umeandika as if we ndo unaisimulia huo mkasa wa Lwanda
Chizi Maarifa ndiyo LwandaMagere
 
Swali moja nauliza, moja ya masharti muhimu na kuu kabisa aliambiwa ahakikishe anakua na chumba kimoja ambacho ataingia peke yake.

Ilikuaje akawa anaingia na wanawake kwenye geto lake kuwapiga kimkakati na chumba hichohicho ndio ameweka mitambo yake?

Tokea mwanzo ningeshangaa sana hizi chengachenga zisingetokea, nilivyoona tu nimeokoka na kumpokea Yesu huku kuna baadhi ya maneno anaandika hadi Carleen anaenda madhabahuni kutubu, nikajua tunatengenezwa tujae vizuri...kisha akapima upepo kwa kusema watu wamemwendea PM asitishe wanunue stori...nikajua maandiko yametimia kama ilivyonenwa na manabii.

Hata hivyo kuna mengi nimejifunza. Tunashukuru kwa yote hadi kufikia hapa.

Kitoabu anaendelea kubaki Mlume Ndago wa ukwelikweliiii. Akianza, anamaliza hakuna vumbi vumbi.
Ngoja nikujibu Mimi ambae nimeelewa mana mkuu we ulisoma fasta na auku elewa ni ivi alinunua nyumba mpya aka karabati ikakamilika fresh na akahama kule geto, ile nyumba mpya katika vyumba vinne akatenga kchumba kimoja akaweka kile kibuyu cha damu nkwa jili ya mungu kibonge na hats pesa alikua anazikuta humo, yusta na zainat aliwaleta kwenye hii nyumba yake mpya na kila mmoja akamuweka kwenye chumba chake so akawa anapga shipa zamu kwa zamu anatoka chumba hiki anahamia chumba hiki pasipo wao kufahamu. Bila shaka jibu swaafiiiiii na umeelewa mkuu bila shaka kuuliza si ujinga Bali nikutaka kujua.
 
Hivi ni kweli watu tuna maisha magumu ya kufikia kukosa hata buku au ni maamuz ya kuongea na kulaumu
 
Hivi ni kweli watu tuna maisha magumu ya kufikia kukosa hata buku au ni maamuz ya kuongea na kulaumu
kama una buku lako nunua fanta tuu unywe huko hakuna hata inshu wabongo wamepewa uwanja sasa vurugu mtindo mmoja...
 
Back
Top Bottom