Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kabisa! 🤣Mngekuwa mn smoke weeds huy demu asingeleta ungese
Nilinunua kitabu nikausoma mkuu wala siyo humu jfNaomba unitag kwenye hiyo stori
Kweli mkuu ilikua haipiti mwaka pale haijatokea ajariAjali za maroli na gari za abiria zimenikumbusha mlima Mbalizi aise hii dunia hii.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Sawa kaka wewe mwerevu na mkweli tumekubali [emoji1376]
Chukua kombe[emoji471]umetisha kabisa na upo smart kichwani kwakweli tumekufurahia
Asante
Hivi ya khumbu iliishia wapi maana nlipata arosto halafu nikasusa kuifatilia tena😂😂😂Hahahah watu na macrush wenu
Mbona story zipo nzuri tatizo unapata notification za tag
Halafu uko kwingine kuna arosto sana utazivumilia
Alikufa zakeHivi ya khumbu iliishia wapi maana nlipata arosto halafu nikasusa kuifatilia tena[emoji23][emoji23][emoji23]
Iliisha mbona urudi ukaimalizie tuHivi ya khumbu iliishia wapi maana nlipata arosto halafu nikasusa kuifatilia tena[emoji23][emoji23][emoji23]
Endelea kumjaza mamaAmekwambia ubadili avatar ili akukubalie badili basi nikakupigie debe atakubali tu[emoji4]
Hahahahaha nilijua we na maya mmesomaHivi kuna mtu amesoma upupu wa huyu mtu anipe samare[emoji23][emoji23][emoji23]
Nilipendekeza Auze soft copy hata kwa sisi tulio hizi nchi za barafu tuweze kupataLwanda kama hii simulizi ya pili unakitabu tayari au hata soft copy ambayo naweza nunua nijulishe ninunue niachane na hii alosto na kelele za wazushi hapa.
Uko pande zipi Mkuu?Nilipendekeza Auze soft copy hata kwa sisi tulio hizi nchi za barafu tuweze kupata
Amekwambia ubadili avatar ili akukubalie badili basi nikakupigie debe atakubali tu[emoji4]
Naeza kipata nikiwa Mombasa?Mkuu hivi kweli uko serious?,aliyekwambia mtu aliyetubu dhambi alizofanya hapendi pesa ni nani?,hujui pesa ndiyo inayoendesha maisha ya mahitaji yetu ya kila siku?,na aliyekwambia kwamba nimesitisha masimulizi ni nani?,Mimi nimetoa tangazo la namna ya watu kupata vitabu,wewe unaleta ujuaji mwingi usiyokuwa na faida,Quran na Biblia ni vitabu vitakafu lakini bado vinauzwa,hata hao wanaovigawa bure unakuta wamevinunua mahali.
Hiki kisa hapa nitaendelea kukisimulia lakini lazima na watu wanaotaka kopi za vitabu wajipatie maana kwanza kuna kisa humu sikukimalizia lakini kwenye kitabu kitakuwepo,pia kuna mambo ya kikatili niliyafanya ambayo hapa sitaweza kuyazungumza lakini kwenye kitabu yapo,pia wengine huwa wanataka kitabu kama kumbukumbu,hivyo mkuu msiwe mnapenda kupotosha.
Mimi mwenyewe ndiye niliamua kusimulia historia ya maisha yangu,hukunituma wewe,hivyo muda mwingine ni vema ukatulia wanaoweza watanunua.
If your ass can speak out!! insert your pointin! finger!! mean while sniff it!!!You won!! But my ass can not tell me your stupidity!!!!