Mikasa ya Dunia: Mtu asiye na Kivuli, anayeweza kuwa sehemu mbili kwa wakati Mmoja

Mikasa ya Dunia: Mtu asiye na Kivuli, anayeweza kuwa sehemu mbili kwa wakati Mmoja

Ni siku ya Pili sasa nipo Tanga na hapa leo nimekutana na jambo la kushangaza sana. Nikiwa nmepark gari wanaosha nikaona ni vyema nikae sehemu nipate Dafu pia na kubadilishana mawili matatu na wenyeki kwenye Bench wakicheza Draft.

Hii dunia imejaa visa,mikasa,vioja na maajabau yake.kuna mambo ya kutisha,sikitisha,furahisha na kustaajabisha.

Tulikuwa tumekaa watu 6 wawili wakicheza. Hivyo nlinunua madafu 6 tuendelee na Jumatatu yetu huku jamaa wakiosha gari.

Tukiwa tunaongea alikuja kijana mmoja akasalimia na hakukaa sana akaondoka. Hakuna ambaye alipenda sana ku jihusisha naye ni kama watu walikuwa wanamjibu tu ili aondoke.

Alipoondoka ndo bwana mmoja akaanza kunambia.

"Bro wewe unatokea wapi?" Nlimjibu akaanza elezea.
"Yule Bwana xxx aliyekuja hapa ukaona tuna mjibu kifupi sana bila stories naye.ulimwangalia vizuri?" Kiukweli sikuwa na sababu ya kumwangalia vizuri so sikuwa nmemwangalia vizuri. Nikamjibu "hapana" akaanza kunielezea.

" Yule jamaa ungemwangalia ungegundua kuwa hana kivuli" personally sikuwahi kuwa na wazo la kukagua kama kuna mtu ana au hana kivuli.

"Yule jamaa alikuja hapa toka Zanzibar ilitokea tu jamaa kijiwe flani wanaamka asubuhi wanamkuta jamaa pale kijiweni. Alipoulizwa aliwajibu kuwa katokea Zanzibar.jamaa waliendelea kupiga naye kazi mbalimbali hasa za kuuza ujenzi n.k moja ya mambo ambayo yalikuwa yanawashangaza jamaa ni kuwa alikuwa anakaa hata siku nne tano hali.

Wakawa wanajiuliza huwa anakula wapi na muda mwingi wanakuwa naye kazini then wanaenda lala ghetto.ndo siku moja jamaa akawasimulia kuwa yeye huwa anakunywa damu za binadamu na akinywa anaweza kaa hata wiki bila kula.

Akaendelea kuwaambia kuwa hata kivuli hana sababu ana nafsi mbili.anaweza kuwa hapa Tanga halafu watu wengine muda huo huo wakamwona Dar es salaam.

Katika kuthibitisha hilo kweli kesho yake wakiwa juani watu walifanya uchunguzi mdogo na kugundua hana kivuli. Wakati wao wanaonekana kuwa na vivuli yeye alikuwa hana.

Lakini pia wanasema mara kadhaa amekuwa akionekana kabisa wapo naye sehemu A lakini jamaa yao mwingine anasema alikuwa na naye sehemu B. Jamaa amekuwa hivyo na aliwasimulia chanzo mpaka cha yeye kuwa hivyo.

Na kuwa alifika hapo Tanga baada ya kudondoka akiwa safarini kuelekea sehemu nyingine.

Jamaa alikuwa anaweza wasimulia wao mambo ya ndani kwao na sometimes akilala na wanawake wa pale mtaani usiku bila wao kujitambua."

Hali hiyo ilisimuliwa na wenzake jamaa pale maskani wakiunga mkono kuwa kama atarudi niangalie kama ana kivuli.

Hapo ikabidi nianze kuwakagua jamaa pale kama wana vivuli.nami nikajiangalia na kukuta ninacho.nimashusha pumzi. Mambo mengi yalizungumzwa ila nikasema

Nije wauliza wana JF je inawezekana kabisa mtu akakosa kivuli? Akawa two places at the same time? Inakuwaje kuwaje?

Nawasilisha.
Ule mkasa wako ulivyo gombea dem na jini uliishia wapi vile?
 
ilitikiwa umuulize uyo bwana mwenyewe ili upate uhakika usije kuta ni bitii tu lakumkaribisha mgeni
Ni siku ya Pili sasa nipo Tanga na hapa leo nimekutana na jambo la kushangaza sana. Nikiwa nmepark gari wanaosha nikaona ni vyema nikae sehemu nipate Dafu pia na kubadilishana mawili matatu na wenyeki kwenye Bench wakicheza Draft.

Hii dunia imejaa visa,mikasa,vioja na maajabau yake.kuna mambo ya kutisha,sikitisha,furahisha na kustaajabisha.

Tulikuwa tumekaa watu 6 wawili wakicheza. Hivyo nlinunua madafu 6 tuendelee na Jumatatu yetu huku jamaa wakiosha gari.

Tukiwa tunaongea alikuja kijana mmoja akasalimia na hakukaa sana akaondoka. Hakuna ambaye alipenda sana ku jihusisha naye ni kama watu walikuwa wanamjibu tu ili aondoke.

Alipoondoka ndo bwana mmoja akaanza kunambia.

"Bro wewe unatokea wapi?" Nlimjibu akaanza elezea.
"Yule Bwana xxx aliyekuja hapa ukaona tuna mjibu kifupi sana bila stories naye.ulimwangalia vizuri?" Kiukweli sikuwa na sababu ya kumwangalia vizuri so sikuwa nmemwangalia vizuri. Nikamjibu "hapana" akaanza kunielezea.

" Yule jamaa ungemwangalia ungegundua kuwa hana kivuli" personally sikuwahi kuwa na wazo la kukagua kama kuna mtu ana au hana kivuli.

"Yule jamaa alikuja hapa toka Zanzibar ilitokea tu jamaa kijiwe flani wanaamka asubuhi wanamkuta jamaa pale kijiweni. Alipoulizwa aliwajibu kuwa katokea Zanzibar.jamaa waliendelea kupiga naye kazi mbalimbali hasa za kuuza ujenzi n.k moja ya mambo ambayo yalikuwa yanawashangaza jamaa ni kuwa alikuwa anakaa hata siku nne tano hali.

Wakawa wanajiuliza huwa anakula wapi na muda mwingi wanakuwa naye kazini then wanaenda lala ghetto.ndo siku moja jamaa akawasimulia kuwa yeye huwa anakunywa damu za binadamu na akinywa anaweza kaa hata wiki bila kula.

Akaendelea kuwaambia kuwa hata kivuli hana sababu ana nafsi mbili.anaweza kuwa hapa Tanga halafu watu wengine muda huo huo wakamwona Dar es salaam.

Katika kuthibitisha hilo kweli kesho yake wakiwa juani watu walifanya uchunguzi mdogo na kugundua hana kivuli. Wakati wao wanaonekana kuwa na vivuli yeye alikuwa hana.

Lakini pia wanasema mara kadhaa amekuwa akionekana kabisa wapo naye sehemu A lakini jamaa yao mwingine anasema alikuwa na naye sehemu B. Jamaa amekuwa hivyo na aliwasimulia chanzo mpaka cha yeye kuwa hivyo.

Na kuwa alifika hapo Tanga baada ya kudondoka akiwa safarini kuelekea sehemu nyingine.

Jamaa alikuwa anaweza wasimulia wao mambo ya ndani kwao na sometimes akilala na wanawake wa pale mtaani usiku bila wao kujitambua."

Hali hiyo ilisimuliwa na wenzake jamaa pale maskani wakiunga mkono kuwa kama atarudi niangalie kama ana kivuli.

Hapo ikabidi nianze kuwakagua jamaa pale kama wana vivuli.nami nikajiangalia na kukuta ninacho.nimashusha pumzi. Mambo mengi yalizungumzwa ila nikasema

Nije wauliza wana JF je inawezekana kabisa mtu akakosa kivuli? Akawa two places at the same time? Inakuwaje kuwaje?

Nawasilisha.
 
Kumbe huijui Tanga.
Walikua wanakulia taimin uingie mwenyewe Cha kike.
Siku nyingine usijioneshe una pesa ukiwa Tanga.
 
becknature
😁😁😁 Nikweli mkuu, me kuna kipindi nilikutana naye pale k/ koo akanionesha kovu alilopewa gamboshi, ila yote na yote amini uchawi upo mkuu
 
becknature
😁😁😁 Nikweli mkuu, me kuna kipindi nilikutana naye pale k/ koo akanionesha kovu alilopewa gamboshi, ila yote na yote amini uchawi upo mkuu
 
Mkuu ungemuona wewe na kuthibitisha Kuwa hana kimvuli kidogo ningekuelewa lkn kwa jua hili nalolijua Mimi ukiwa huna hela linakuonyesha kimvuli chako mpk chunusi na jipu litashindwaje kuonyesha kimvuli cha huyo binadamu anaeweza shikika na akafanya kazi..[emoji28]
Mwili wake utakuwa umevunja sheria za kifizikia..
Kwani jini ana kimvuli?
 
Kivuli ni zao la Mwanga pale unapopingwa na kitu kisichoruhusu hiyo miaka ya mwanga kupita ndani yake hii ni kanuni halali ya Fizikia kwahali yeyote kitu chochote kisichokuwa Transparent kikipigwa na mwanga lazima kitoe kivuli!


Sent from my SM-A205F using JamiiForums mobile app
 
Ila kuna kitu nilishuhudia kdg kinashangaza kuna jamaa ana attracts Moshi ,yaani kikichomwa kitu kikatoa Moshi lzm umfuate upande wake hata km kuna upepo wa wastani wa kuupeleka direction tofauti yeye mwenyewe alikuwa anashindwa kujua ni kwanini au ina maana gani?

Sent from my SM-A205F using JamiiForums mobile app
 
Ishu ya mtu kutokiwa ni kivuli nilisoma miaka ya elfu 20 mwanzoni. Ilikuwa stry ya bwana mmoja hivi WA KENYA. Yeye aliingia kwenye Haya mambo ya cult alizama mazima huko kiasi Kwamba ikafikia akawa hana kivuli akitembea. Yaani usipokua na kivuli ni kama NUSU mfu. Maana binadamu aliye hai ni lazima awe na Kivuli
Sio binadamu aliye hai tu, hata maiti ikisimamishwa ina kivuli.

Object yoyote ikimulikwa na mwanga wa Jua, Bulb au Mwezi lazima uoneshe kivuli upande wa pili au chini kutegemea na mahali Mwanga unapotokea

Mengine huwa ni stories tu, Furahisha Genge.
 
Kama hukumuona na kuthibitisha mwenyewe hill kwa macho mawili kwa MTU amesimama mbele yako lakini chino take hana kivuli, hiyo no story za vijiweni tu!
Labda no shukurani yako kwa kuwanunulia madafu!![emoji16]
 
Back
Top Bottom