Satoh Hirosh
JF-Expert Member
- Mar 30, 2021
- 6,432
- 25,646
Kuna nini huku mkuu? Ngoja nitulie nipitie kuanzia mwanzo.
Hadithi za kawaiiiiiida sana. Hazina jipya. Nlidhani mikasa yenyewe...kumbe stories tu za watoto wakikaa wanasimuliana..ndo maana wote wanalia lia na wote unajaribu kuwapamba.
😂😂😂Unataka midunyano tu najua🤣
Hutaki kunifurahisha eeeSikupi unachotaka🤣🤣🤣
Sio kweli,acha uchawishangazi=mama
baba=mjomba
duh! mpaka kichwa kinauma unazaa na dada yako na huyo tonio asipo kuwa makini watoto wake nao watapeana mimba.
Pm etiUnataka nikusimulie? DEJANE?
Nilikuwa namjibu Chuma cha MjerumaniStori hii ni ya kweli bro.
Huwa sina kipaji cha kutunga
Kuna jirani yangu hapa baba amezaa na binti yake watoto wawili....yaan sio story ya kusimliwa hadi mke aliondoka akawaacha wawr huru zaidiDah! Familia Zina Siri[emoji848]
Kwaiyo mshua alimlala dada ake tumbo moja[emoji26]
Sent using Jamii Forums mobile app