DeepPond
JF-Expert Member
- Nov 18, 2017
- 41,728
- 103,997
Aaah hofu yako TU,Unifundishe kuandika.
Nimeruka visa vingi mno kwa uvivu wa kuandika mkuu
mi mbn naona umeandika vzur tu mkuu[emoji4]
Sent using Jamii Forums mobile app
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Aaah hofu yako TU,Unifundishe kuandika.
Nimeruka visa vingi mno kwa uvivu wa kuandika mkuu
AseeKuna jirani yangu hapa baba amezaa na binti yake watoto wawili....yaan sio story ya kusimliwa hadi mke aliondoka akawaacha wawr huru zaidi
Haha kweliWifi ni wifi tu
Umeona fursa?Nisaidie namba za hao wadogo zake mapacha
Inaonyesha iliishaYupo wapi Tonia ?mbona hujamalizia mpo pamoja au iliishia
Story ya Tonia ni ndefu mnoo.Huyo Tonia hebu ongeza simulizi mkuu
NAam siko nao wote mkuu.Kwa hiyo mkuu Glenn Sasa hivi hauko na Vicky Wala Tonia?
Vicky alishaolewa na hatukuwa na bond kubwa sawa ilivyokuwa kwa Tonia.Kwa hiyo mkuu Glenn Sasa hivi hauko na Vicky Wala Tonia?
Ulimsaidiaje,au ulimtelekeza?NAam siko nao wote mkuu.
Vicky kaolewa.
Tonia tulupotezana kwenye wakati mgumu sana kwa kila mmoja.
Kwa ufupi nilimuacha akiwa mgonjwa na asiyetamani kutoka nje kabisa kutwa analala ndani.
Msongo wa mawazo ulimletea matatizo makubwa kiafya.
Daah kwa Tonia nimeteketeza sio chini ya self 2 mkuu.Ulimsaidiaje,au ulimtelekeza?
Ulifanya Jambo lililo bora kumsaidia. Wengi hukimbia changamoto hasa kwenye scenario Kama yako inapotokea. Umeonyesha utu na utulivu Mr Glenn .Daah kwa Tonia nimeteketeza sio chini ya self 2 mkuu.
Sina deni kwa huyo mrembo.
Niliuguza yeye
Niliuguza wazazi wote
NIliuguza bibi yake.
Kwa kifupi ukingoni mwa mahusiano yetu hiyo familia ilipitia changamoto kubwa kiuchumi na kiafya.
Babake ni mfanya biashara na aliugua akayumba.
Kaka yake naye alikuwa na biashara kubwa nayo iliyumba sana so sikumtelekeza.
Alifanya sana hadi alikiri mwenyewe kuwa Glenn...katika wanaume wewe wa kipekee haikukwa rahisi univulie kiasi hiki katika mapito yote.
So mkuu Satoh Hirosh sikumtelekeza huyo binti hata kidogo
Unaweza kumhudumia mwanamke miaka miwili iliyojaa bila kusex naye?Ulifanya Jambo lililo bora kumsaidia. Wengi hukimbia changamoto hasa kwenye scenario Kama yako inapotokea. Umeonyesha utu na utulivu Mr Glenn .
Kweli tenaHaha kweli