Atoto
JF-Expert Member
- Jul 19, 2013
- 86,410
- 169,862
Daaah! ðŸ˜ðŸ˜ðŸ˜Kula jiwe dogo langu😂
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Daaah! ðŸ˜ðŸ˜ðŸ˜Kula jiwe dogo langu😂
Sasa why kesho?Wewe ni mtu wangu daima hata iweje😂😂
Kesho ni pm ni jambo zuri 😂
Mmmmmh!!Usiwe na haraka dogo, kitu kinachemka😂
Aaah we!!!!!!!Ukinisikiliza itafaidika, sawa?
ni yule ulietaka kumpiga paipu msibani au mwingine tena?Ujana maji ya Moto,
Mi mwnyw Kuna kipindi almanusra nimpige paipu dada angu (wa kambo) bila kujua Kama Ni ndugu yangu[emoji26]
Sent using Jamii Forums mobile app
Hii part umeiandika kwa hisia ya juu sana. Hongera sana kwa kuwa mwanaume bora katika kupigania ukipendacho regardless what you get in return, i bet Tonia is safe somewhere anaenjoy sweet memories you shared together.Unaweza kumhudumia mwanamke miaka miwili iliyojaa bila kusex naye?
Huo uvumilivu haukuwa wa kawaida mkuu.
Ndio maana huwa nasema Tonia ni chuo changu cha mapenzi;
Alinifunza kumvumilia umpendaye
Alinifunza kulipigania penzi kwa hali zote.
Yes ni mwalimu wangu...
Siwezi kuongea mengine itoshe kwa hayo mkuu
Daah hii kitu mbaya sana unamla dadako itakutesa sanaHaya mambo yapo, kuna dada mmoja pia amezaa na kaka yake kabisa wamechangia mama though wao walikuwa hawajuani. Walikutana chuoni wakapendana na kupeana mimba.
Imekuja kujulikana baada ya kutaka kuoana rasmi, kwenye kutambulishana kwa wazazi ndo ikasanuka wao ndugu.
Yeah😊Hunaga baya dogo langu
Nani huwa anakusalimia hivyo?Naitikiaje[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Nimezoea ugonile[emoji23]
Nafikiri ndiye mwanamke aliyefaidi sana shekeli kwangu. Na nyumba juu
Unamla na matokeo juu aiseeDaah hii kitu mbaya sana unamla dadako itakutesa sana