Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ngoja kwanza nitimize majukumu fulani fulani ndipo nirudibaki hapa nami
Huwa naskia hivyo pia na kuna baadhi nimewaona hawapo timamuSi wanasemaga ndugu wakizaa wanatoa mtoto alielaanika hata muonekano wake unakua wa ajabu?
Wewe Lala tu hakuna shidaAcha mimi nilale tu
Na hapo bado kuna story kubwa sana, inakuwaje unazaa na dada yako hata kuficha inashindikana mtoto unakaa naye wewe tena na mke wako halisi sasa [emoji3064][emoji3064][emoji3064]shangazi=mama
baba=mjomba
duh! mpaka kichwa kinauma unazaa na dada yako na huyo tonio asipo kuwa makini watoto wake nao watapeana mimba.
Sasa mkuu hakukwambia sababu ya baba na mama kuingia kwenye mahisiano ilhali walikuwa mdugu wa damu?we acha tu mkuu walivyofyatua kitu cha kimataifa
Kivipi mkuu? Naomba ufafanuzi hapaHuwa naskia hivyo pia na kuna baadhi nimewaona hawapo timamu
Ukizaa na ndugu yako wa kuzaliwa kuna namna mtoto anakuwa hayupo sawa, pia ni laana.Kivipi mkuu? Naomba ufafanuzi hapa
Kwa hiyo hata hao wadogo zake wamepatikana kutoka kwa kaka na dada kama yeye?Mkuu ilikuwa nikidadisi ninatonesha msiba ndani yake...analia kutwa.
Ilibidi nisiendelee tena kuuliza
Daah mkuu achana muonekano wa Tonia, huyo kiumbe ni level nyingine.Huwa naskia hivyo pia na kuna baadhi nimewaona hawapo timamu
DaahUkizaa na ndugu yako wa kuzaliwa kuna namna mtoto anakuwa hayupo sawa, pia ni laana.