Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Daah, hicho kipengele ni noma... Kwahyo hata huyo mke wake wa sasa hafahamu mumewe alizaa na nani huyo mtotoHapana mkuu.
HAo mama yao ni tofauti.
Tonia aliletwa ndani ya familia akiwa mdogo
Inawezekana ndio mauza uza yenyewe hayoDaah mkuu achana muonekano wa Tonia, huyo kiumbe ni level nyingine.
But niligundua kuna kitu ambacho aliridhi kwa baba sio cha kawaida.
Ilikuwa wanaumwe siku moja na kipona siku moja wote wawili
Ndio hvyo mkuu kuzaa na ndugu jauDaah
Kuna mitihani sana duniani hapaAnafahamu tena waliitunza hii siri wawili tu.
Malizia basi storyniache tu rafiki
Kipengele tough sana hcho.. naanzaje kunyanyua winch kwanzaInawezekana ndio mauza uza yenyewe hayo
Ndio hvyo mkuu kuzaa na ndugu jau
Sehemu za mizagamuano hujatusimulia ujue 🙆🏼♂️Huko uliko umewahi kutana nayo mkuu?
Wapo wanaoweza, ni mazingira tu baada ya hapo ni kumsingizia shetaniKipengele tough sana hcho.. naanzaje kunyanyua winch kwanza
Aisee..Wapo wanaoweza, ni mazingira tu baada ya hapo ni kumsingizia shetani
Mfanano kwa maana gani mkuuNitakuwekea mfanano wa Tonia ujionee mkuu
Basi nakuja pm unisimulie peke yanguHaikuwa lengo la uzi mkuu kamanda
No, nahtaji kuelewa that's why nmeuliza.. sorryUmefeli tayari