Mikasa ya mahusiano ya shule

Mikasa ya mahusiano ya shule

😂😂😂 kweli wewe kiboko udugu
Eee nambie ulichoandika basi, lete ubuyu huo
Nakumbuka sasa uduguuu!! Nahisi nilichorachoraaa tu sijui hata nilichora kitu gani🤠🤠🤠🤠!!
 
Niko la 7 siku yangu ya kuzaliwa nikaletewa zawadi na binti wa darasa la 6, ofcz alikuwa akinikubuli toka akiwa la 5 mie la 6.
Akawa mpenzi wangu, nikaenda form 1, 2 mpaka nafika 6, alikuwa ni mpenzi wangu binti tabia zimenyooka, namuona huyu mke kabisa.
Kuanzia 4m 2 hivi zaidi ya kukutana nae na kumchezea kisha nikamnyonya papuchi, sikuwahi kumtia DUNGUSO, ujana wangu nilioanga sintavunja bikra ya mtu labda yule ambae ndio nimemuoa.

So binti ikawa tunakutana tunafanya michezo yetu naitizama tu bikra ipo, ila mie nikawa nanjunja pembeni bila ya yeye kujua,..
4m 1 nilizingua nikatimuliwa shuke nikaenda kuanza upya, tukawa vidato sawa,
Dah, kufika kidato cha 6 hivi nikaja umbuka kwanza kuna manzi nilikuwa nabembeleza mdogo mdogo toka nipo form 4 kwao arusha, sasa hapo mwishoni tumepiga pepa ya 6 tayari napokea simu namba ngeni, sauti inafanana na yule demu wa arusha, namuuliza we uko wapi ananiambia yupo arusha ila hajanitajia ye nani, kumbe ye kamaliza pepa weruweru high school katulia arusha anajipanga kuja dar.
Nikajichanganya nikataja jina la yule demu mwingine.. Ikawa kesi, ila nikaweza kuisolve alipokuja dar, baada ya muda anapata taarifa nimepata mtoto, nilitia mimba nikiwa form 5 mwishoni.
Akabwaga manyanga yule binti, ila nakumbuka yale mapenzi yake, alikuwa ananipenda.
Katika wanawake waliowahi kunioenda kwa dhaaati kabisa nae yupo kwenye kundi, shida ujana wangu ulikuwa na mazonge mengi mnooo
😂🤣
 
Mapenzi yenu yalikuwa yanafikia levoz za kukazana?
Hapana, ilikuwa tu kuwa pamoja muda mwingi nakumbuka we kissed mara Moja au mbili hivi. Na kuongea kwa simu (landline)
 
Nakumbuka sasa uduguuu!! Nahisi nilichorachoraaa tu sijui hata nilichora kitu gani🤠🤠🤠🤠!!
Mwenzio nilikuwa nikitongozwa naenda kusema kwa mama 😂😂😂
Mimi vya kuandikiana barua sijawahi ila nakumbuka kuna jamaa alikuwa ananipenda kuniambia hawezi, sasa kuna marafiki zake wawili wote walikuwa wananipenda basi wanamuomba yeye ndio awasindikize kuja kunitongoza 😂😂😂

Basi wakija yule jamaa hataki kuondoka anataka asikilize jamaa yake ataongea nini??!
Na mimi nikamkataa yule mshkaji wake basi tukikutana ananipongeza, safi atakuharibia maisha yule usimsikilize. Nikawa nashangaa 😂😂😂
 
Niko la 7 siku yangu ya kuzaliwa nikaletewa zawadi na binti wa darasa la 6, ofcz alikuwa akinikubuli toka akiwa la 5 mie la 6.
Akawa mpenzi wangu, nikaenda form 1, 2 mpaka nafika 6, alikuwa ni mpenzi wangu binti tabia zimenyooka, namuona huyu mke kabisa.
Kuanzia 4m 2 hivi zaidi ya kukutana nae na kumchezea kisha nikamnyonya papuchi, sikuwahi kumtia DUNGUSO, ujana wangu nilioanga sintavunja bikra ya mtu labda yule ambae ndio nimemuoa.

So binti ikawa tunakutana tunafanya michezo yetu naitizama tu bikra ipo, ila mie nikawa nanjunja pembeni bila ya yeye kujua,..
4m 1 nilizingua nikatimuliwa shuke nikaenda kuanza upya, tukawa vidato sawa,
Dah, kufika kidato cha 6 hivi nikaja umbuka kwanza kuna manzi nilikuwa nabembeleza mdogo mdogo toka nipo form 4 kwao arusha, sasa hapo mwishoni tumepiga pepa ya 6 tayari napokea simu namba ngeni, sauti inafanana na yule demu wa arusha, namuuliza we uko wapi ananiambia yupo arusha ila hajanitajia ye nani, kumbe ye kamaliza pepa weruweru high school katulia arusha anajipanga kuja dar.
Nikajichanganya nikataja jina la yule demu mwingine.. Ikawa kesi, ila nikaweza kuisolve alipokuja dar, baada ya muda anapata taarifa nimepata mtoto, nilitia mimba nikiwa form 5 mwishoni.
Akabwaga manyanga yule binti, ila nakumbuka yale mapenzi yake, alikuwa ananipenda.
Katika wanawake waliowahi kunioenda kwa dhaaati kabisa nae yupo kwenye kundi, shida ujana wangu ulikuwa na mazonge mengi mnooo
😂🤣
Ningeshangaa nisingeona comment yako ndugu mwenyekiti 😂😂😂
 
Mwenzio nilikuwa nikitongozwa naenda kusema kwa mama 😂😂😂
Mimi vya kuandikiana barua sijawahi ila nakumbuka kuna jamaa alikuwa ananipenda kuniambia hawezi, sasa kuna marafiki zake wawili wote walikuwa wananipenda basi wanamuomba yeye ndio awasindikize kuja kunitongoza 😂😂😂

Basi wakija yule jamaa hataki kuondoka anataka asikilize jamaa yake ataongea nini??!
Na mimi nikamkataa yule mshkaji wake basi tukikutana ananipongeza, safi atakuharibia maisha yule usimsikilize. Nikawa nashangaa 😂😂😂
Anamchomea utambi mwenzie kumbe nae anakupenda hahaa 😁😁!
Mapenzi ya utoto vituko sana!
 
mi nakumbuka nikiwa std 7, nilkua nna washikaji zangu wawili hivi ambao tulkua tunashindania namba za juu darasani ila wao walikua wakubwa kidogo coz walirudia madarasa, so tayar mambo ya kikubwa kubwa walikua washaanza. Ile tunakarbia mwisho mwisho kuna siku walinibananisha wakanitongozea demu classmate mwenzetu kimasihara na demu akakubal kwenda kuliwa na tayar wakat huu nafikir alkua kashavunja ungo.. daah aisee mi nilkua najua utani alivokubali na nikaona washikaji wamedhamiria kabsa nikabikiriwe.. NILILIA SANAAA sitasahau [emoji23][emoji23]

Afu eti tulivomaliza shule ndo nkaikumbuka Ile moment na kujiona bwege sana baada ya kukutana na Ile pisi mtaani imenawiri mbaya mbovu inanicheeeka [emoji28]... niliombaga mzigo baadae sana ila sikufanikiwa
Hahahaa mwamba ulituangusha sanaaa yaani we ndio nalia badala ya pisi
 
mi nakumbuka nikiwa std 7, nilkua nna washikaji zangu wawili hivi ambao tulkua tunashindania namba za juu darasani ila wao walikua wakubwa kidogo coz walirudia madarasa, so tayar mambo ya kikubwa kubwa walikua washaanza. Ile tunakarbia mwisho mwisho kuna siku walinibananisha wakanitongozea demu classmate mwenzetu kimasihara na demu akakubal kwenda kuliwa na tayar wakat huu nafikir alkua kashavunja ungo.. daah aisee mi nilkua najua utani alivokubali na nikaona washikaji wamedhamiria kabsa nikabikiriwe.. NILILIA SANAAA sitasahau [emoji23][emoji23]

Afu eti tulivomaliza shule ndo nkaikumbuka Ile moment na kujiona bwege sana baada ya kukutana na Ile pisi mtaani imenawiri mbaya mbovu inanicheeeka [emoji28]... niliombaga mzigo baadae sana ila sikufanikiwa
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Namshukuru Mungu sana kusoma na umri mdogo .La kwanza mpaka la saba nilikuwa sielewi chochote kuhusu mapenzi.Form 1 mpaka 3 nilikua bado pia na nilikuwa na bahati mbaya .Sikumbuki kama kuna binti yoyote alishawahi kunipenda mimi.Kidato cha nne ndio nilianza kupenda .Nilimpenda binti mmoja kutoka ndani ya moyo wangu.Wana walishaniletea mpaka room nipige dudu nikashindwa.Huyu nilikutana naye tena chuo akaonesha interest ila kwa mali nilizokutana nazo nilikuwa namuona kibungo tu.Nimechoka ila chuo ndio nilipata mwanamke alienipenda tuna mtoto mmoja.Kwa sasa nimekuwa kamalaya na kalevi namsumbua tu mtoto wa watu.Mungu nisaidie.
 
Mwenzio nilikuwa nikitongozwa naenda kusema kwa mama [emoji23][emoji23][emoji23]
Mimi vya kuandikiana barua sijawahi ila nakumbuka kuna jamaa alikuwa ananipenda kuniambia hawezi, sasa kuna marafiki zake wawili wote walikuwa wananipenda basi wanamuomba yeye ndio awasindikize kuja kunitongoza [emoji23][emoji23][emoji23]

Basi wakija yule jamaa hataki kuondoka anataka asikilize jamaa yake ataongea nini??!
Na mimi nikamkataa yule mshkaji wake basi tukikutana ananipongeza, safi atakuharibia maisha yule usimsikilize. Nikawa nashangaa [emoji23][emoji23][emoji23]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] nimechekaa had baas.
 
Back
Top Bottom