Hapa afadhali bhana wanyama wetu ndio target kwa Bara. Huko kwao visiwani afadhali wawakabidhi kabisa hiyo bandari. Siye hatumo!! Viongozi wengine ni viazi kabisa! Hivi nani anajua ugomvi ulio kenya sasa hivi- Uhuru amekataa kudisclose mkataba wa ile highway ya Mombasa road na ile railway line Mombasa Nairobi. Hofu imetanda kwamba imefungamanishwa na kukabidhiwa kwa bandari ya Mombasa.
Hii mikataba ilitakiwa kusainiwa china au Tanzania?
Kuna mtindo mpya wa kwenda kusaini mikataba nje ya nchi je mikataba hiyo waziri wa sheria na katiba anahusika kuisaini?
Hii mikataba ikienda kusainiwa huko china wabunge wanakuwa wameipitia au kuijua au tunaenda kuisaini huko china tu?
Ni nani huwa anaandaa na kuipitia hiyo mikataba kabla samia hajaondoka nayo kwenda kusainiwa huko ugaibuni?
Ni nani amemtuma samia kwenda kusaini mikataba 15 huko china kwa wakati mmoja?
Huo mkopo wa kujenga Zanzibar international airport ni nani atalipa huo mkopo na dhamana yake ni nini?
Huko Zambia wachina walishika uwanja wa mpira, Tanesco ta huko na uwanja wa ndege kisa wazambia walishindwa kulipa mkopo wa wachina Samia anakumbuka?
Nimeuliza tu
Mimi nilitaka ku comment kweli nchi kama China wakutupa 100 hawa jamaa wana matrillion nilidhani Mama anaenda kuchukuwa pesa ndefu 230 billion wakati nasikia magari tu tunatumia 200 million huko au wamekosea number hawa? China ni moja ya super power kiuchumi niliwaza zitapigwa deal za maana ila nimekuwa dissapointedEti wametupa Tsh 30+ bilioni.
Jamani hiyo Ni pesa hata mwenye kituo Cha petroli anayo.
Hata ukifunguka watu wamesha sign mikataba ya miaka 300 huko!!Tusipofunguka 2025 tumeliwa
Sasa hujaona hiyo mikataba. Zubiri waiweke hadharani. Kama mtia sinye Ni huyo mwenye PhD ya kuchovya.Mimi nilitaka ku comment kweli nchi kama China wakutupa 100 hawa jamaa wana matrillion nilidhani Mama anaenda kuchukuwa pesa ndefu 230 billion wakati nasikia magari tu tunatumia 200 million huko au wamekosea number hawa? China ni moja ya super power kiuchumi niliwaza zitapigwa deal za maana ila nimekuwa dissapointed