Mikataba anayoingia Waziri Makamba ina mkono wa mkuu wa nchi? Kwanini hatusikii akiikemea? Wananchi wanabakia kunung'unika Taifa lao kufisadiwa

Ndio inahusianaje na utalaamu wa kisheria kwenye mikataba? Waliwahi ku practice wapi hao wasomi?

NChi haifanyiwi majaribio.Stupid
 
Ukifuatilia hiyo link niliyokupa utaona majukumu ya PURA .

AG ana watu maalum kabisa wanaohusika na maswala la mikataba.

Na yeye ndio mshauri namba moja wa maswala ya mikataba kwa serikali.

Sioni kwanini wataalam wa ofisi zote hizo wapuuzwe na atumike mtu wa nje.

Sasa majukumu ya AG na PURA kupewa mtu ambaye sio mzawa ni kumdharau AG na pia kuidharau taasisi ya PURA ambayo ndiyo imeanzishwa kwa sheria ya bunge mahususi kabisa kuishauri serikali kuhusiana na maswala ya oil and gas.
 
Miaka 5 ya Mzee baba Magu, hapakuwa na mauzauza ya umeme kukatika hovyo wala mikataba ya kisirisiri.
Na tayari Serikari iliisha anza kuwaamini na kuwatumia wa TZ wenye AKILI NA MAARIFA ktk kutekeleza MIRADI mikubwa badala ya kutegemea NGOZI NYEUPE.
 
Unatetea ujinga kwa faida ya Nani?
 
COPY,
Kama hii kazi imetolewa bila ushindani, tayari ni harufu ya rushwa pamoja na uvujwaji wa sheria ya manunuzi.
 
Ushauri umekuwa expensive hivo kumbe....

Nashangaa watu humu huwa wanataka kupewa ushauri wa Bure wakati makamba anaununua kwa hela nyingi...

InFact Watanzania na Africa kwa ujumla hatujiamini na imepelekea kutoweza kufanya lolote...
 
Ndio inahusianaje na utalaamu wa kisheria kwenye mikataba? Waliwahi ku practice wapi hao wasomi?

NChi haifanyiwi majaribio.Stupid
Wewe kiazi hakuna mtu anasomea exactly Gas and Oil law.

With exceptions, otherwise a majority of specialised lawyers nchi za wenzetu in their fields ni watu walio hitimu degrees za kawaida tu kwanza plus work experience.

Sema baadae unaruhusiwa kusoma masters mwaka mmoja ujifunze legal arguments; baada ya hapo unakuwa specialised lawyer.

That is to say hakuna mtu ambae kasoma oil and Gas Management awezi kuelewa elements majadiliano na dispute resolutions; ni mpuuzi kama Makamba na wewe mnaodhabi watanzania wote wana limitations kama mlivyo nyie hadi kutukuza mabeberu.
 
Toa upumbavu wako hapa,kusomea ni jambo moja na ku practice uka win kwenye mazingira halisi ni jambo kingine.

Maslahi ya Nchi hayafanyiwi majaribio.
 
Ushauri umekuwa expensive hivo kumbe....

Nashangaa watu humu huwa wanataka kupewa ushauri wa Bure wakati makamba anaununua kwa hela nyingi...

InFact Watanzania na Africa kwa ujumla hatujiamini na imepelekea kutoweza kufanya lolote...
JF, huwa tunaomba Ushauri kila siku, tena huwa tunajieleza kwa huruma ili tusaidiwe na watu wenye upeo mkubwa wa kufikiri kwa kina kwa wepesi na kwa haraka.
KUMBE USHAURI UNANUNULIWA NJE YA NCHI TENA MIKATABA MAALUM,,,,,,, Sijui JF nao wataiga hii mambo kwa Mheshimiwa?
 
Toa upumbavu wako hapa,kusomea ni jambo moja na ku practice uka win kwenye mazingira halisi ni jambo kingine.

Maslahi ya Nchi hayafanyiwi majaribio.
Nikuulize swali what legal term is used in the contract framework to dictates each party’s right and dispute resolution approach; halafu nitajie kama hiyo term ipo kwenye somo lolote la sheria zaidi ya biashara.

Kujibizana na watu wapuuzi kama nyie ni kupoteza muda mtu unakuta hana ata basic knowledge ya kitu anachotaka kujibizana nakuonya mapema maswala ya mikataba ya mafuta na Gas naijua and the wide industry operation: so before you test people make sure you know your stuff.
 
Ndio maana nakwambia wewe ni mburula kama wengine, unadhani aliyetoa ushauri kwa Waziri na Serikali ku hire consultancy firm ni baba yako au AG?

Usiwe mjinga wewe,hata Tanroads huwa Wana kitengo cha usanifu ila wakikuta mradi ni mkubwa kushinda uwezo wao huwa Wana hire consultancy firm,ndicho wamefanya ofisi ya AG kuishauri Serikali I hire hiyo kampuni.

Ngoja nizidi kukukera





 
Hayo maswali yako yanahusikaje na uamuzi wa.serikali Ku hire consultancy firm? Toa umbulula wako hapa.
 
Hayo maswali yako yanahusikaje na uamuzi wa.serikali Ku hire consultancy firm? Toa umbulula wako hapa.
Sasa kama huna ata basic knowledge unajuaje kama ikila mtu anadhani tunahitaji mwanasheria.

What element exactly ya mkataba ambazo sisi wenyewe atuwezi zitetea? au unaunga mkono upuuzi tu, hujui ata unatetea nini.
 
Nchi imesharudi mikononi mwa mafisadi hapo ni zito,Ridhwn, Hussein na Mama huku akijifanya hajui kinachoendelea yote yana mwisho ngj wakusanye pesa
 
Sasa kama huna ata basic knowledge unajuaje kama ikila mtu anadhani tunahitaji mwanasheria.

What element exactly ya mkataba ambazo sisi wenyewe atuwezi zitetea? au unaunga mkono upuuzi tu, hujui ata unatetea nini.
Rubbish.Hivi Kwa mfano Tanroads hawana kitengo cha consultancy? Kwa nini huwa Wana hire consultancy firms kwenye miradi?

Acha ujinga wewe,Ofisi ya AG ndio imeshauri Serikali ku hire sasa sijui unapayuka nini? Uliomba Kazi ukashindwa ushindani au? Sasa hasira na maumivu yako usiniletee mimi nenda kwa mshauri wa saikolojia upatiwe msaada.
 
Makamba Jr tumekusikia
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…