Kwahiyo ukishaenda kusoma Aberdeen University ndo tayari unakuwa mtalaamu wa masuala ya mafuta na gesi, especially the legal side of the industry? Badala ya kujibu hoja unamwaga mapovu!!
Tatizo la watu aina yako, mtakuja hapa kumwaga povu kwa kila jambo ambalo mnaamini JPM hakufanya kwa sababu mnaamini ambacho hakufanya yeye ndo SAHIHI!
Mkuu
Stroke,
Nilikuahidi kwamba ningerudi tena baadae nikishapata muda wa ku-research kidogo....
Man, tuhitimishe bila kupoteza muda kwa kusema yafuatayo...
Tutupo hapa JF pamoja kwa muda mrefu na tunafahamiana misimamo yetu!
Ingawaje hata nikisema bado unaweza kubisha but we both know kwamba, wewe Stroke, na hata Mleta Mada Mkuu
Idugunde, nyinyi na hata huyo
Kilatha niliyem-quote hapo juu lazima MTAPINGA jambo lolote mnaloamini JPM hakulitaka hata kama hamna taarifa kamili ikiwa kweli hakulitaka au vipi!
Now , let's cut to the chase, once and for all. Baada ya kuchunguza, nimegundua tenda kuhusu kuajiri a foreign company ilitangazwa wakati wa Mtukufu Mnayeamini hana makando kando yoyote, na ndie Mzalendo Namba 1 kwenye taiafa hili:-
View attachment 2096565
Sasa je, ina maana Serikali ya Mzalendo John Pombe nayo haikuwaona makumi ya Watalaamu wenye uwezo wa kuishauri GNT?!
Na hata Wataalamu wa Sheria wenyewe, tena critic kama Fatma Karume, nao wanasema:-
View attachment 2096570
Hivi unataka kusema wewe na mimi tuzifahamu corporate law firm Bongo kumzidi Fatma!! Na kwa alivyo Fatma, hapo kakosa cha kukosowa lakini akaona asitoke hivi hivi ndo maana akazungumzia suala ikiwa Public Procurement Act imefuatwa... nami namuunga mkono ingawaje kwa doc hiyo ya TPDC hapo juu, inaonekana ilifuatwa at least kutangaza open tender!
Nami narudia kama nilivyosema hapo awali: TUSIJIDANGANYE, HATUNA WATAALAMU! Hii ni zaidi ya mtu kuwa na L.L.B, L.L.M, and PhD ya Sheria!
Na hata hilo suala la software ambalo mnapenda sana kulizingumzia kirahisi rahisi tu, mosi ni Tanzania-Zambia Transmission Interconnector (TAZA) Project, inayofadhiliwa na World Bank, na tenda yake ilitangazwa enzi za huyo huyo!
View attachment 2096568
Stay blessed y'all... nimesha-conclude mjadala kwa upande wangu vinginevyo mtu aniwekee profile ya legal firm kutoka Tanzania inayofanana angalau kwa 25% TU kulinganisha na ile profile niliyoiweka Baker & Bottis!! Au aniwekee profile za Wanasheria Wazalendo wenye uzoefu in oil and gas industry lakini kinyume cha hapo tutakuwa tunaendeleza league isiyo na tija!!