Mikataba anayoingia Waziri Makamba ina mkono wa mkuu wa nchi? Kwanini hatusikii akiikemea? Wananchi wanabakia kunung'unika Taifa lao kufisadiwa

Mikataba anayoingia Waziri Makamba ina mkono wa mkuu wa nchi? Kwanini hatusikii akiikemea? Wananchi wanabakia kunung'unika Taifa lao kufisadiwa

Haya mauzauza na dili anazofanya January Makamba yanaonyesha wazi kabisa yana ruhusa na mkono wa mkuu wa nchi maana alipaswa kuyazuia na kumtumbua mapema kabisa.
Hii mikataba sio inaandaliwa hapo 'chalinze kwa juu' huyu jamaa atazalisha mikataba ya ajabu kama ilivyokuwa awamu ya 5.
 
Alianza na mkataba wa bil takribani 70 ambao Tanesco iliingia mkataba na Mahindra tech ya India kwa ajili ya kukodi software ambayo itafanya shughuli za Tanesco ziwe za kidigitali na kuongeza ufanisi kiutendaji. Mpaka sasa kila Mtanzania anahoji na kujiuliza ni software gani hiyo ambayo watalaamu wa Kitanzania au ni ufanisi gani ambao hawa Wahindi watauleta kwa bil 70. Watalaamu wa Kitanzania hawapo?

Jana tena kaibuka na kulipatia mkataba kampuni la huko Uk la Barker and Bottis mkataba wa kuwa kuwa mshauri juu ya utekelezaji wa mradi wa gasi ya asili ya Lindi. Mradi ambao una gharama zaidi ya tril 70.

Kama taifa tulishindwa kuwa na Government negotiating team? Hii team ingejumuisha watalaamu wa kila aina na kuokoa pesa nyingi za walipa kodi.

Haya mauzauza na dili anazofanya January Makamba yanaonyesha wazi kabisa yana ruhusa na mkono wa mkuu wa nchi maana alipaswa kuyazuia na kumtumbua mapema kabisa.
Aisee.. niliwaambia watu humu hizi tikitaka wanacheza tanesco sio kwamba hawawezi kudhibiti kukatika Kwa umeme, kuna wanasiasa wanatuletea Mambo meusi.
 
JF, huwa tunaomba Ushauri kila siku, tena huwa tunajieleza kwa huruma ili tusaidiwe na watu wenye upeo mkubwa wa kufikiri kwa kina kwa wepesi na kwa haraka.
KUMBE USHAURI UNANUNULIWA NJE YA NCHI TENA MIKATABA MAALUM,,,,,,, Sijui JF nao wataiga hii mambo kwa Mheshimiwa?

Na ndio maana watu wanapuuza sana ushauri,,,kwasabu wanaupata Free...
 
Hilo suala nilishalisema hapa na kuweka taarifa zote za BOT na zingine zote, Magufuli hakukopa zaidi ya kikwete.
Magufuli alikopa sana, Ila si zaidi ya kikwete. Tunaweza kumsema aina ya mikopo aliyokopa na pengine kilichofanyika, Ila sio kusema alikopa zaidi ya kikwete.
Takwimu zilizotolewa zinasema kwa miaka 10 ya Awamu ya 4, Kikwete aliongeza deni kwa Trilioni 23.
Na kwa miaka 5 ya Utawala wake, Magufuli aliongeza deni kwa Trilioni 29.
Tena kwa mikopo umiza.
Wewe unasema hakukopa zaidi ya Kikwete. Naomba ufafanuzi tafadhali.
 
Tulieni nchi ifunguliwe 🤣🤣🤣

Meko aliifunga hii nchi 🤣🤣🤣
 
Kaeni muelewane, wote mnatoka Lumumba.
image_search_1643135482080.jpg
 
Unaweza ukaniambia ni wapi kwa maana y anchi ama sehemu ambako hakuna hay Mambo mkuu..
Kama unazungumzia wizi, rushwa and the like, kila mahali yapo lakini kuna kuzidiana! Inawezekana kuzidiana kutokana na moral obligations au kuzidiana kutokana na taasisi zilizo sehemu mbalimbali zilizowekwa kupambana na ufedhuli huu!
 
Hiyo comment ya mdau kuhusu kikwete inahusiana vipi na kutetea legacy?
Sasa habari za JK zimetokea wapi wakati tunazungumzia issue ya taasisi za serikali kuajiri foreign legal firm?
 
Yaani wewe unadhani Waziri ataingia mkataba bila Attorney General na Cabinet kujua? Au umesahau swali ambalo Lowassa alimuuliza Kikwete kuhusu Richmond, "Ni kitu gani nilifanya hukujua?"
 
kuna mdau alikuja kulalamika hapa aliwapa wabongo project wamyengenezee software, pamoja na kuwalipa pesa nyingi bado iliwachukua mwaka mzima na project ilipokamilika ilionekana kwamba ni copy and paste, usanii mwingi HIVYO SOFTWARE DEVELOPERS WA KIANZANIA NI VILAZA FIRST GRADE.


Kwa akili yako fupi unahisi kuna kampuni gani ya kitanzania inaweza kufanya kazi ya ushauri kwenye mradi srious kama huu? unajua maana ya 70T wewe? au unakurupuka tuu kuja kulalamika hapa sababu tuu unamiliki iphone macho matatu? Kwa kifupi serious business zinahitaji watu serious.
ushauri!!!!,kwa hiyo nch hii,kuanzia tanesco wote na mi PhD yao ,ni vilaza wote!!!? we can't be serious!!
 
We na huyo Makamba akili zenu sawa in your little pathetic heads mnadhani watanzania wote ni wapuuzi kama nyie.

Ebu mwambie waziri achunguze hapo wizarani since Dr Mpango amekuwa waziri ni watanzania wangapi wamepekekwa Aberdeen University kusomea maswala ya Oil and Gas.

If you don’t know about Aberdeen University ipo very close to North Sea na ndio chuo kikubwa shell Uk ina sponsor in oil and gase degrees.

Makamba is just stupid
Kwahiyo ukishaenda kusoma Aberdeen University ndo tayari unakuwa mtalaamu wa masuala ya mafuta na gesi, especially the legal side of the industry? Badala ya kujibu hoja unamwaga mapovu!!

Tatizo la watu aina yako, mtakuja hapa kumwaga povu kwa kila jambo ambalo mnaamini JPM hakufanya kwa sababu mnaamini ambacho hakufanya yeye ndo SAHIHI!

Mkuu Stroke,

Nilikuahidi kwamba ningerudi tena baadae nikishapata muda wa ku-research kidogo....

Man, tuhitimishe bila kupoteza muda kwa kusema yafuatayo...

Tutupo hapa JF pamoja kwa muda mrefu na tunafahamiana misimamo yetu!

Ingawaje hata nikisema bado unaweza kubisha but we both know kwamba, wewe Stroke, na hata Mleta Mada Mkuu Idugunde, nyinyi na hata huyo Kilatha niliyem-quote hapo juu lazima MTAPINGA jambo lolote mnaloamini JPM hakulitaka hata kama hamna taarifa kamili ikiwa kweli hakulitaka au vipi!

Now , let's cut to the chase, once and for all. Baada ya kuchunguza, nimegundua tenda kuhusu kuajiri a foreign company ilitangazwa wakati wa Mtukufu Mnayeamini hana makando kando yoyote, na ndie Mzalendo Namba 1 kwenye taiafa hili:-

TPDC.png

Sasa je, ina maana Serikali ya Mzalendo John Pombe nayo haikuwaona makumi ya Watalaamu wenye uwezo wa kuishauri GNT?!

Na hata Wataalamu wa Sheria wenyewe, tena critic kama Fatma Karume, nao wanasema:-

fATMA.png


Hivi unataka kusema wewe na mimi tuzifahamu corporate law firm Bongo kumzidi Fatma!! Na kwa alivyo Fatma, hapo kakosa cha kukosowa lakini akaona asitoke hivi hivi ndo maana akazungumzia suala ikiwa Public Procurement Act imefuatwa... nami namuunga mkono ingawaje kwa doc hiyo ya TPDC hapo juu, inaonekana ilifuatwa at least kutangaza open tender!

Nami narudia kama nilivyosema hapo awali: TUSIJIDANGANYE, HATUNA WATAALAMU! Hii ni zaidi ya mtu kuwa na L.L.B, L.L.M, and PhD ya Sheria!

Na hata hilo suala la software ambalo mnapenda sana kulizingumzia kirahisi rahisi tu, mosi ni Tanzania-Zambia Transmission Interconnector (TAZA) Project, inayofadhiliwa na World Bank, na tenda yake ilitangazwa enzi za huyo huyo!
TAZA.jpg


Stay blessed y'all... nimesha-conclude mjadala kwa upande wangu vinginevyo mtu aniwekee profile ya legal firm kutoka Tanzania inayofanana angalau kwa 25% TU kulinganisha na ile profile niliyoiweka Baker & Bottis!! Au aniwekee profile za Wanasheria Wazalendo wenye uzoefu in oil and gas industry lakini kinyume cha hapo tutakuwa tunaendeleza league isiyo na tija!!
 
Alianza na mkataba wa bil takribani 70 ambao Tanesco iliingia mkataba na Mahindra tech ya India kwa ajili ya kukodi software ambayo itafanya shughuli za Tanesco ziwe za kidigitali na kuongeza ufanisi kiutendaji. Mpaka sasa kila Mtanzania anahoji na kujiuliza ni software gani hiyo ambayo watalaamu wa Kitanzania au ni ufanisi gani ambao hawa Wahindi watauleta kwa bil 70. Watalaamu wa Kitanzania hawapo?

Jana tena kaibuka na kulipatia mkataba kampuni la huko Uk la Barker and Bottis mkataba wa kuwa kuwa mshauri juu ya utekelezaji wa mradi wa gasi ya asili ya Lindi. Mradi ambao una gharama zaidi ya tril 70.

Kama taifa tulishindwa kuwa na Government negotiating team? Hii team ingejumuisha watalaamu wa kila aina na kuokoa pesa nyingi za walipa kodi.

Haya mauzauza na dili anazofanya January Makamba yanaonyesha wazi kabisa yana ruhusa na mkono wa mkuu wa nchi maana alipaswa kuyazuia na kumtumbua mapema kabisa.
Kumbuka huwezi kupewa kazi yeyote serikalini bila 10%.
Hapo watu wanacheka tu.
 
Baada ya kuchunguza, nimegundua tenda kuhusu kuajiri a foreign company ilitangazwa wakati wa Mtukufu Mnayeamini hana makando kando yoyote, na ndie Mzalendo Namba 1 kweny
Unaweza kufafanua kwa nini tenda hii ime"stall" toka 2018 lakini imeweza kuwashwa sasa wakati usiyeamini alikuwa mzalendo hayupo? Najaribu kuwa objective katika suala hili.
====
Lile la kuhusu maana ya "bunge kuisimamia serikali" nina imani bado unalifanyia kazi, Mkuu. I trust that you will be back to the matter for me.

Regards,
TUJITEGEMEE.
 
Kwahiyo ukishaenda kusoma Aberdeen University ndo tayari unakuwa mtalaamu wa masuala ya mafuta na gesi, especially the legal side of the industry? Badala ya kujibu hoja unamwaga mapovu!!

Tatizo la watu aina yako, mtakuja hapa kumwaga povu kwa kila jambo ambalo mnaamini JPM hakufanya kwa sababu mnaamini ambacho hakufanya yeye ndo SAHIHI!

Mkuu Stroke,

Nilikuahidi kwamba ningerudi tena baadae nikishapata muda wa ku-research kidogo....

Man, tuhitimishe bila kupoteza muda kwa kusema yafuatayo...

Tutupo hapa JF pamoja kwa muda mrefu na tunafahamiana misimamo yetu!

Ingawaje hata nikisema bado unaweza kubisha but we both know kwamba, wewe Stroke, na hata Mleta Mada Mkuu Idugunde, nyinyi na hata huyo Kilatha niliyem-quote hapo juu lazima MTAPINGA jambo lolote mnaloamini JPM hakulitaka hata kama hamna taarifa kamili ikiwa kweli hakulitaka au vipi!

Now , let's cut to the chase, once and for all. Baada ya kuchunguza, nimegundua tenda kuhusu kuajiri a foreign company ilitangazwa wakati wa Mtukufu Mnayeamini hana makando kando yoyote, na ndie Mzalendo Namba 1 kwenye taiafa hili:-

View attachment 2096565
Sasa je, ina maana Serikali ya Mzalendo John Pombe nayo haikuwaona makumi ya Watalaamu wenye uwezo wa kuishauri GNT?!

Na hata Wataalamu wa Sheria wenyewe, tena critic kama Fatma Karume, nao wanasema:-

View attachment 2096570

Hivi unataka kusema wewe na mimi tuzifahamu corporate law firm Bongo kumzidi Fatma!! Na kwa alivyo Fatma, hapo kakosa cha kukosowa lakini akaona asitoke hivi hivi ndo maana akazungumzia suala ikiwa Public Procurement Act imefuatwa... nami namuunga mkono ingawaje kwa doc hiyo ya TPDC hapo juu, inaonekana ilifuatwa at least kutangaza open tender!

Nami narudia kama nilivyosema hapo awali: TUSIJIDANGANYE, HATUNA WATAALAMU! Hii ni zaidi ya mtu kuwa na L.L.B, L.L.M, and PhD ya Sheria!

Na hata hilo suala la software ambalo mnapenda sana kulizingumzia kirahisi rahisi tu, mosi ni Tanzania-Zambia Transmission Interconnector (TAZA) Project, inayofadhiliwa na World Bank, na tenda yake ilitangazwa enzi za huyo huyo!
View attachment 2096568

Stay blessed y'all... nimesha-conclude mjadala kwa upande wangu vinginevyo mtu aniwekee profile ya legal firm kutoka Tanzania inayofanana angalau kwa 25% TU kulinganisha na ile profile niliyoiweka Baker & Bottis!! Au aniwekee profile za Wanasheria Wazalendo wenye uzoefu in oil and gas industry lakini kinyume cha hapo tutakuwa tunaendeleza league isiyo na tija!!
Nini kilisababisha project hii isimame mpaka sasa ilivyofufuliwa upya??
 
kuna mdau alikuja kulalamika hapa aliwapa wabongo project wamyengenezee software, pamoja na kuwalipa pesa nyingi bado iliwachukua mwaka mzima na project ilipokamilika ilionekana kwamba ni copy and paste, usanii mwingi HIVYO SOFTWARE DEVELOPERS WA KIANZANIA NI VILAZA FIRST GRADE.


Kwa akili yako fupi unahisi kuna kampuni gani ya kitanzania inaweza kufanya kazi ya ushauri kwenye mradi srious kama huu? unajua maana ya 70T wewe? au unakurupuka tuu kuja kulalamika hapa sababu tuu unamiliki iphone macho matatu? Kwa kifupi serious business zinahitaji watu serious.
Kwamba watu siriaz hawapo Tanzania na hawajazaliwa?
 
Back
Top Bottom