Mikataba ya $300 ya kuwa Housegirl Uarabuni haina tija kwa nchi

Mikataba ya $300 ya kuwa Housegirl Uarabuni haina tija kwa nchi

Kamundu

Platinum Member
Joined
Nov 22, 2006
Posts
7,823
Reaction score
10,857
Serikali inatia aibu wakati mwingine.

Imejikita kuwasaidia madada wa Tanzania kuwa housegirls huko Uarabuni badala ya kuwasaidia diaspora ambao wanafanya kazi za maana na wenye uwezo wa kusaidia nchi kama sheria zikiwekwa sawa. Hatutaweza kuendelea kwa $300 kwa mwezi!

Na unyanyasaji na ubaguzi kwa ndugu zetu huko uarabuni badala yake tusaidie wasomi na wafanyabiashara wetu.

Nchi nyingine wanapeleka Manesi na wanalipwa $70,00-$100,000 kwa mwaka na madaktari wanaingiza zaidi ya $100,000 kwa mwaka na wasomi wengine mmablimbali mfano India inapeleka kwa mikataba wataalamu wa computer engineering. Sisi tunaenda ku sign mikataba ya mahaouse girl kwa $300 kwa mwezi? Kwanini kama ni marafiki zetu wasichukuwe wataalamu wengine?

Wito ni kwa serikali kuweka sheria rafiki kwa diaspora ili waweze kuchangia kama diaspora wengine mfano Kenya badala ya kujishusha na kutegemea wafanyakazi wa ndani!
 
Hapa Tanzania kuna housigeli anaelipwa hiyo hela? hujui huo ni mshahara wa mfanyakazi mwenye masters degree bongo, Wengine tuna ndugu zetu huko tunajua wanavyotusaidia huku ndugu zao

Tunatakiwa kuwasaidia watu wenye elimu na maarifa na kuwapa wengine wasio na elimu. Badala ya kumpeleka housegirl kwa $300 kwa mwezi ni bora wampeleke bure shule kwa miaka 3 halafu aende huko nje na kuingiza &3000 mara kumi zaidi!. Sababu mojawapo ya unyanyasaji ni elimu duni sasa kuwapeleka watu wasio na elimu nje ni kama utumwa
 
Serikali inatia aibu wakati mwingine.

Imejikita kuwasaidia madada wa Tanzania kuwa housegirls huko Uarabuni badala ya kuwasaidia diaspora ambao wanafanya kazi za maana na wenye uwezo wa kusaidia nchi kama sheria zikiwekwa sawa. Hatutaweza kuendelea kwa $300 kwa mwezi!

Na unyanyasaji na ubaguzi kwa ndugu zetu huko uarabuni badala yake tusaidie wasomi na wafanyabiashara wetu.

Nchi nyingine wanapeleka Manesi na wanalipwa $70,00-$100,000 kwa mwaka na madaktari wanaingiza zaidi ya $100,000 kwa mwaka na wasomi wengine mmablimbali mfano India inapeleka kwa mikataba wataalamu wa computer engineering. Sisi tunaenda ku sign mikataba ya mahaouse girl kwa $300 kwa mwezi? Kwanini kama ni marafiki zetu wasichukuwe wataalamu wengine?

Wito ni kwa serikali kuweka sheria rafiki kwa diaspora ili waweze kuchangia kama diaspora wengine mfano Kenya badala ya kujishusha na kutegemea wafanyakazi wa ndani!
$300 ni kwa mtu asiye na mbele ama nyuma ambaye akifika kule anafundishwa, ila Experience Maid wanalipwa hadi $800 na zaidi.
 
Tunatakiwa kuwasaidia watu wenye elimu na maarifa na kuwapa wengine wasio na elimu. Badala ya kumpeleka housegirl kwa $300 kwa mwezi ni bora wampeleke bure shule kwa miaka 3 halafu aende huko nje na kuingiza &3000 mara kumi zaidi!. Sababu mojawapo ya unyanyasaji ni elimu duni sasa kuwapeleka watu wasio na elimu nje ni kama utumwa
Weeh serikaliii hii na elimu wapi na wapi?
Ni kama maji na mafuta
Wakakogeshe watoto tu yahye😂😂
 
Serikali inatia aibu wakati mwingine.

Imejikita kuwasaidia madada wa Tanzania kuwa housegirls huko Uarabuni badala ya kuwasaidia diaspora ambao wanafanya kazi za maana na wenye uwezo wa kusaidia nchi kama sheria zikiwekwa sawa. Hatutaweza kuendelea kwa $300 kwa mwezi!

Na unyanyasaji na ubaguzi kwa ndugu zetu huko uarabuni badala yake tusaidie wasomi na wafanyabiashara wetu.

Nchi nyingine wanapeleka Manesi na wanalipwa $70,00-$100,000 kwa mwaka na madaktari wanaingiza zaidi ya $100,000 kwa mwaka na wasomi wengine mmablimbali mfano India inapeleka kwa mikataba wataalamu wa computer engineering. Sisi tunaenda ku sign mikataba ya mahaouse girl kwa $300 kwa mwezi? Kwanini kama ni marafiki zetu wasichukuwe wataalamu wengine?

Wito ni kwa serikali kuweka sheria rafiki kwa diaspora ili waweze kuchangia kama diaspora wengine mfano Kenya badala ya kujishusha na kutegemea wafanyakazi wa ndani!
Hiyo ni laki Saba, serikalini Kuna wengi tu mshahara wao haufiki laki Saba, huku mitaani akina dada hawana hata hela ya Pedi...unaandika ukiwa Chali unakuna fungus kwenye korodani
 
Tunatakiwa kuwasaidia watu wenye elimu na maarifa na kuwapa wengine wasio na elimu. Badala ya kumpeleka housegirl kwa $300 kwa mwezi ni bora wampeleke bure shule kwa miaka 3 halafu aende huko nje na kuingiza &3000 mara kumi zaidi!. Sababu mojawapo ya unyanyasaji ni elimu duni sasa kuwapeleka watu wasio na elimu nje ni kama utumwa
Kazi zilizopo huko ni hizo za mahausigeli, hizo kazi zako za wenye elimu haziko, unadhani huko hakuna wasomi? Wanatakiwa mahausigel huko kwa sababu wazawa wa huko hawazitaki hizi kazi, wanataka hizo za dola 3,000/, kama umeshawahi kuishi nje utaelewa ugumu wa kupata kazi huko, nenda Marekani na masters yako kutoka UDSM kama utapata kazi ya maana. Kwanza elimu za Afrika hawazitambui!
 
Kazi zilizopo huko ni hizo za mahausigeli, hizo kazi zako za wenye elimu haziko, unsdhani huko hakuna wasomi? Wanatakiwa mahausigel huki kwa sababu wazawa wa huko hawazitaki hizi kazi, wanataka hizo za dola 3,000/, kama umeshawahi kuishi nje utaelewa ugumu wa kupata kazi huko, Nenda Marekani na masters yako kutoka UDSM ksma utapata kazi ya maana. Kwanza elimu za Afrika hawazitambui!
🤣🤣🤣 Kwahiyo saivi tumekubaliana bongo shule nooh
Wote tukaoshe vyombo uarabuni
Sawa
Kazi iendelee😂😂😂😂
 
Serikali inatia aibu wakati mwingine.

Imejikita kuwasaidia madada wa Tanzania kuwa housegirls huko Uarabuni badala ya kuwasaidia diaspora ambao wanafanya kazi za maana na wenye uwezo wa kusaidia nchi kama sheria zikiwekwa sawa. Hatutaweza kuendelea kwa $300 kwa mwezi!

Na unyanyasaji na ubaguzi kwa ndugu zetu huko uarabuni badala yake tusaidie wasomi na wafanyabiashara wetu.

Nchi nyingine wanapeleka Manesi na wanalipwa $70,00-$100,000 kwa mwaka na madaktari wanaingiza zaidi ya $100,000 kwa mwaka na wasomi wengine mmablimbali mfano India inapeleka kwa mikataba wataalamu wa computer engineering. Sisi tunaenda ku sign mikataba ya mahaouse girl kwa $300 kwa mwezi? Kwanini kama ni marafiki zetu wasichukuwe wataalamu wengine?

Wito ni kwa serikali kuweka sheria rafiki kwa diaspora ili waweze kuchangia kama diaspora wengine mfano Kenya badala ya kujishusha na kutegemea wafanyakazi wa ndani!
Tunakuvua uPlatinum wa mchongo......
 
Back
Top Bottom