Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sio brown bread huo naujua, huu nadhani ni wa kawaida tu umemixiwa na cocoa....ni mtamu sana.Hiyo ipo kuna bosi wangu wa kizungu hutumia anasema ina virutubisho zaidi ni kama dona.
Pia hutumika sana kuongeza " nguvu"
Hiyo siijui aisee...Sio brown bread huo naujua, huu nadhani ni wa kawaida tu umemixiwa na cocoa....ni mtamu sana.
Kuna mtu alikua akienda Uganda ndo anakuja nayo. Sijawahi kuiona hapaHiyo siijui aisee...
Ni kweli mkuu chapati marage au chapati supu.Kwa mama lishe na hata baadhi ya migahawa hizo ni breakfast za Watanzania wengi hasa hapa Dar
Nainjoi sana jina lako 😂😂😂
Asante sanaNainjoi sana jina lako 😂😂😂
Ahahahahha😂😂😂😂Usiku baadhi ya mabachelor imekuwa msosi wao huo
Migahawa au baba/mama lishe siku hizi wanauza sana ikifika jioni utaona kimeza na viti, pembeni chapati zinachomwa na maandazi yakikaangwa na jungu la maharage likitokota
Wanetu wakijipatia dinner baada ya kutoka kulijenga taifa
Nchi nyingi hii white bread kwa sasa inaliwa kwa nadra sana kwa sababu za kiafya. Wanasema siyo nzuri. Ila hii mingine sasa kuila mpaka ujiandaeHujaonja boflo wewe utaiona hiyo superloaf takataka.
Kuna ulazima gani wa kuweka "" kwenye neno nguvu 😂😂😂😂Hiyo ipo kuna bosi wangu wa kizungu hutumia anasema ina virutubisho zaidi ni kama dona.
Pia hutumika sana kuongeza " nguvu"
Yeah kweli kuna yule na timu yake wapo pale Mawasiliano karibu na soko yeye anafungua kuanzia jioni tuNi kweli mkuu chapati marage au chapati supu.
Ila huku mtaani kwetu huyu maza anatulisha chapati marage usiku
Nguvu zipi fafanua mkuu, wengine tunazitaka sana zile nguvu za naniliii km ndo inaongeza[emoji23][emoji23][emoji23]Hiyo ipo kuna bosi wangu wa kizungu hutumia anasema ina virutubisho zaidi ni kama dona.
Pia hutumika sana kuongeza " nguvu"
Si unajua tu mambo ya kitaa maneno yao 🤣🤣🤣🤣Ahahahahha😂😂😂😂
Hili neno LIKITOKOTA umeliokotea wapi mwamba 😂😂😂🙌🙌🙌🙌🙌
Sasa macho cha afya kina ghalama mkuuNchi nyingi hii white bread kwa sasa inaliwa kwa nadra sana kwa sababu za kiafya. Wanasema siyo nzuri. Ila hii mingine sasa kuila mpaka ujiandae
View attachment 3027706
Oyaa akili tuu mjini hapa...Yeah kweli kuna yule na timu yake wapo pale Mawasiliano karibu na soko yeye anafungua kuanzia jioni tu
Oyaa wana masotojo kama yote. Supu za kila aina, maandazi, mihogo, chapati, vitumbua, ndizi, mihogo, ukitaka wali, ugali nyama choma
Kuna watu wabunifu aisee wa biashara. Na watu wanajaa mpaka viti vinaisha vya kukaa wateja
Hizo hizo mkuu kula brown bread kwa wingiNguvu zipi fafanua mkuu, wengine tunazitaka sana zile nguvu za naniliii km ndo inaongeza[emoji23][emoji23][emoji23]
Daaaah hatareee na nusu et utaskia wanaita SOTOJOSi unajua tu mambo ya kitaa maneno yao 🤣🤣🤣🤣
Hakika mkuu wateja kama wote halafu bei za kiuungwana kabisaOyaa akili tuu mjini hapa...
Huyo anapata wateja kama wote an