Mikate bora zaidi Tanzania

Mikate bora zaidi Tanzania

Hiyo ipo kuna bosi wangu wa kizungu hutumia anasema ina virutubisho zaidi ni kama dona.
Pia hutumika sana kuongeza " nguvu"
"Nguvu" kazia hapo,ukiishikilia hiyo kutajirika ni uamuzi wako tu, somba yote,leta hapa bongo, uza nguvu,mikate inageuka kifungashio tu.
 
Kuna mikate ya tz na kuna mikate ya uganda .asee u Nationality pembeni waganda wana mikate flani ivi hatari
 
Katika kula kwangu mikate nchi hii sijawahi kuona Mikate iliyo bora zaidi ya Supa Loaf, Sunkist na ile ya Iringa inayouzwa kwenye magari. Hii mikate inahitaji heshima nchi hii kwa sababu ina hadhi zote za kuitwa mikate, kuanzia ladha, harufu, ujazo sahihi wa unga hadi ulaini.
View attachment 3027259
Kuna mkate mwanza unaitwa tiktok bei yake imesimama na ladha yake ni kama tiktok
 
Nilipita Dodoma Nako Oops Kuna Mkate Unaitwa Gloria Upo Wa Maziwa Na Vanilla
Ukinywa Upo Sawa Una Ladha Hatari
 
Sasa macho cha afya kina ghalama mkuu
Mkuu siyo gharama. Ni rahisi sana kwa bei. Ni ladha yake mbaya sana. Inatengenezwa na hizi nafaka za Rye, oats na hata ukitaka unaweza kutumia mtama au ulezi. Ni kama dawa kwa ladha japo unaweza kupaka vitu kama siagi au cheese.
 
Back
Top Bottom