Poor Brain
JF-Expert Member
- Jul 5, 2019
- 19,644
- 40,546
Hilo chimbo litakua chimbo langu soon as possibleHakika mkuu wateja kama wote halafu bei za kiuungwana kabisa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hilo chimbo litakua chimbo langu soon as possibleHakika mkuu wateja kama wote halafu bei za kiuungwana kabisa
Oyaa watu wana maneno utasikia ngoja nikabonyee sotojo la mama muuza hapo ndichiDaaaah hatareee na nusu et utaskia wanaita SOTOJO
Muhimu kutia kambi hapo kila jioniHilo chimbo litakua chimbo langu soon as possible
"Nguvu" kazia hapo,ukiishikilia hiyo kutajirika ni uamuzi wako tu, somba yote,leta hapa bongo, uza nguvu,mikate inageuka kifungashio tu.Hiyo ipo kuna bosi wangu wa kizungu hutumia anasema ina virutubisho zaidi ni kama dona.
Pia hutumika sana kuongeza " nguvu"
Hao ndo vijana wa mjini wana vimaneno flan hv.Oyaa watu wana maneno utasikia ngoja nikabonyee sotojo la mama muuza hapo ndichi
Unyama mwingi bloodMuhimu kutia kambi hapo kila jioni
Utasikia oyaa sielewi hapa unajuaHao ndo vijana wa mjini wana vimaneno flan hv.
Et mtu anakwambia ana UBAO khaaaa
""Oya vipi mazingira """Utasikia oyaa sielewi hapa unajua
Kumbe anamaanisha ana njaa
Kuna mkate mwanza unaitwa tiktok bei yake imesimama na ladha yake ni kama tiktokKatika kula kwangu mikate nchi hii sijawahi kuona Mikate iliyo bora zaidi ya Supa Loaf, Sunkist na ile ya Iringa inayouzwa kwenye magari. Hii mikate inahitaji heshima nchi hii kwa sababu ina hadhi zote za kuitwa mikate, kuanzia ladha, harufu, ujazo sahihi wa unga hadi ulaini.
View attachment 3027259
🤣🤣🤣🤣🤣 kuna mwanangu anaupenda huo msemo""Oya vipi mazingira """
Sasa wengine ukituambia hvo tutakujibu " mazingira ni kitu chochote kinachomzunguka binadamu""" 😂😂😂😂😂😂
Hipo sana Bukoba ndio mikate yao na ni mikubwaKuna mtu alikua akienda Uganda ndo anakuja nayo. Sijawahi kuiona hapa
,😂😂😂😂 maana yake nini hiyo ahahha🤣🤣🤣🤣🤣 kuna mwanangu anaupenda huo msemo
Mwingine utamsikia "oyaa vipi kimeruka?"
Ndio mikubwaa ile mikate ni mitamu jamani, si nipate rafiki humu wa bukoba bojoooo......Hipo sana Bukoba ndio mikate yao na ni mikubwa
mbona jina langu hauenjoyNainjoi sana jina lako 😂😂😂
We na mkeo ndiyo chakula cha usiku au sijaelewaKumbe chapati marage ni breakfast..
Mi na jamaa angu ndo chakula chetu cha usiku
Hahaa hapo anauliza oyaa vipi umeshapika?,😂😂😂😂 maana yake nini hiyo ahahha
Mkuu siyo gharama. Ni rahisi sana kwa bei. Ni ladha yake mbaya sana. Inatengenezwa na hizi nafaka za Rye, oats na hata ukitaka unaweza kutumia mtama au ulezi. Ni kama dawa kwa ladha japo unaweza kupaka vitu kama siagi au cheese.Sasa macho cha afya kina ghalama mkuu