Mikato ya pamba za hatari

Watoto wa Dar wanaazima sana nguo,sisi mkoani tunajinunulia Maimoria na Kiboroloni,wengine Tengeru,USA,Kikatiti,Makoroboi,Uyole,Mashine tatu
Yeuwiiiii eti makoroboi maimoria kuna vikali aiseeee
 
MankaM we huvai kufuli za Meimoria?
Ama wanao?
Ama ulipokuwa mtoto hukuvaa kufuli za kb?
Nilikuwa nazipenda kipindi niko mdogo...
Saiv siwezi vaa ntapiga mikato mingine ila kufuli no...
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] ila tunakuwaga tuzuri
 
Kwani wewe ni mkongoman?
 
Hiv hii mizigo mnaipendea nini
kwa sababu tunaipenda .. yan bei yake ukikute chenyewe kabisa we ni kina kuvalisha kwanzia juu mpk chini ndo bei yake tuu.a.k.a buyu a.k.a mchungwa a.k.a dundo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…