Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hapana ,hata jana walikuwa wanabishana kwenye Twitter na us president mr TrumpHabari ina siku nyingi hii
Mmmmmh makubwa lolHao ndugu zetiView attachment 1548312
Havijawahi kuwa na nguvuHuyo mzungu kichwan hamna ktu kwa kujamiana tu huwez kuambukiza ukimwi watu wote unaotembea nao,hapo unaweza kuta aliowaambukiza hawazid kumi,virusi vya ukimw sku hz havna nguvu
Na angefika sijui kama kuna Mdada angepona jamani tena watanzania. Utawasikia real love ni kwa mzungu tu. Na huku mzungu naye ni binadamu kama yeye tu.Hatari sana hii......natumaini hakufika Tanzania.........
Ishu sio kuwaambukiza tu, ila ni vile wanawake weusi, si vischana au watu wazima wanavyokua rahisi kwa mtu yeyote ile ilimradi ni mzungu, mchina, muhindi, mwarabu.Huyo mzungu kichwan hamna ktu kwa kujamiana tu huwez kuambukiza ukimwi watu wote unaotembea nao,hapo unaweza kuta aliowaambukiza hawazid kumi,virusi vya ukimw sku hz havna nguvu
Hatari sana hii......natumaini hakufika Tanzania.........
Inaonekana kama unalitamani dudu la mzungu likupenyezeMike Oliver mzungu toka UK, ni mtalii aliyetembelea nchini Kenya tangu mwaka mmoja uliopita. Mpaka jana 24 August 2020 baharia amethibitisha kutembea na wanawake 300 huko Kenya...
Hapo unaweza kuta jamaa alikuwa anatumia tgo afu peku..... tgo haiachagi mtu salamaHuyo mzungu kichwan hamna ktu kwa kujamiana tu huwez kuambukiza ukimwi watu wote unaotembea nao,hapo unaweza kuta aliowaambukiza hawazid kumi,virusi vya ukimw sku hz havna nguvu