Mike Oliver, Mzungu mtalii aliyetembea na wanawake 300 nchini Kenya

Mike Oliver, Mzungu mtalii aliyetembea na wanawake 300 nchini Kenya

Huyo mzungu kichwan hamna ktu kwa kujamiana tu huwez kuambukiza ukimwi watu wote unaotembea nao,hapo unaweza kuta aliowaambukiza hawazid kumi,virusi vya ukimw sku hz havna nguvu
Havijawahi kuwa na nguvu
 
Hatari sana hii......natumaini hakufika Tanzania.........
Na angefika sijui kama kuna Mdada angepona jamani tena watanzania. Utawasikia real love ni kwa mzungu tu. Na huku mzungu naye ni binadamu kama yeye tu.

Kuna hichi kitu hawakijui kuwa mzungu naye ni binadamu kama binadamu wengine. Hata nje watu walikuwa wanaibiana nguo hostel jamani zikiwa zimeanikwa sio kuwa ni mabibo hostel tu.

Wazungu nao wapo ombaomba na wapo wanao INA wivu ukiwazidi jamani. Pia sex kwao ni kama leisure Fulani kama kunywa bia. Wapo ambao mnaonjana ama wanaonja ili wapate ladha tofauti
 
Hii ndo inatokea pale mwanamke akiwa cheap

Ndo mana zamani wanawake alilindwajamii zote thamani yake isishuke.

Ukiweza kushusha thamani ya mwanamke jamii inakuwa hatari zaidi kuliko thamani ya mwanaume ikishushwa...
 
Huyo mzungu kichwan hamna ktu kwa kujamiana tu huwez kuambukiza ukimwi watu wote unaotembea nao,hapo unaweza kuta aliowaambukiza hawazid kumi,virusi vya ukimw sku hz havna nguvu
Ishu sio kuwaambukiza tu, ila ni vile wanawake weusi, si vischana au watu wazima wanavyokua rahisi kwa mtu yeyote ile ilimradi ni mzungu, mchina, muhindi, mwarabu.

Tunashuhudia mitaani mara nyingi wazungu wazee na mgongo umepinda, anakabinti keusi na wanaitana wapenzi. Mungu tunaoma tunusuru sisi watu weusi, utusaidie tuanze sas kutumia akili zetu wenyewe.
 
He should grow some brains too, sio kila akitafuna anaambukiza virusi... labda kama alikuwa akifanya jitihada za ziada.
 
Mike Oliver mzungu toka UK, ni mtalii aliyetembelea nchini Kenya tangu mwaka mmoja uliopita. Mpaka jana 24 August 2020 baharia amethibitisha kutembea na wanawake 300 huko Kenya...
Inaonekana kama unalitamani dudu la mzungu likupenyeze
 
Serikali ya Kenya ikamuachia akarudi kwao?
Alipashwa afungwe Kenya abadilishwe yeye awe naniliiii
 
Back
Top Bottom