road master
JF-Expert Member
- Jun 11, 2020
- 2,064
- 3,021
Huo mzungunna yy anauakika gan kati ya hao 300 hakukuwa na hiv + mwenzie?, Lkn pia i hope pia alikutana na STDs zingine kama gono, wanawake 300 kwa miezi iyo alitaja it meannyy alikuwa anasweka tu, kahaba, barmaid, n.kHao ndugu zetuView attachment 1548312
Hahaha jamaa alijua atatoboa upande wa piliNimekuta gumza Jana hapa mpakani mwa Tanzania na Kenya kuhusu huyo mzungu pitani aliyowafanyia "madada "poa wa Kenya !!!kama ni kweli basi hii ni hatari kubwa sana na nisomo kwa hawa sex workers kuacha kujiingiza kichwa kichwa kwa hawa watu weupe wakidhani ni watu salama View attachment 1549249View attachment 1549250View attachment 1549252View attachment 1549251
Wazungu wengi hula tiGo , kwa namna yoyote lazima namba iwe kubwa.Huyo mzungu kichwan hamna ktu kwa kujamiana tu huwez kuambukiza ukimwi watu wote unaotembea nao,hapo unaweza kuta aliowaambukiza hawazid kumi,virusi vya ukimw sku hz havna nguvu
Bongo hajafika ila madhara yake yatafika yaani maambukizi. Ni kama corona ilianza China ila leo ipo dunia nzimaHatari sana hii......natumaini hakufika Tanzania.........
Hii ndo inatokea pale mwanamke akiwa cheap
Ndo mana zamani wanawake alilindwajamii zote thamani yake isishuke.
Ukiweza kushusha thamani ya mwanamke jamii inakuwa hatari zaidi kuliko thamani ya mwanaume ikishushwa...
Kwan hakuna vibabu vyeusi vinatembea na vibinti?? Halafu mapenzi hayaangalii gender, age wala race ya mtu, as long as wamependana ni sawa.Ishu sio kuwaambukiza tu, ila ni vile wanawake weusi, si vischana au watu wazima wanavyokua rahisi kwa mtu yeyote ile ilimradi ni mzungu, mchina, muhindi, mwarabu.
Tunashuhudia mitaani mara nyingi wazungu wazee na mgongo umepinda, anakabinti keusi na wanaitana wapenzi. Mungu tunaoma tunusuru sisi watu weusi, utusaidie tuanze sas kutumia akili zetu wenyewe.
Sex worker atachaguaje, ni pesa ndio inaongea, wala hawajajiingiza kichwa kichwa walikua kwenye majukumu yao ya utafutaji, kwani na nyie mpo salama?Nimekuta gumza Jana hapa mpakani mwa Tanzania na Kenya kuhusu huyo mzungu pitani aliyowafanyia "madada "poa wa Kenya !!!kama ni kweli basi hii ni hatari kubwa sana na nisomo kwa hawa sex workers kuacha kujiingiza kichwa kichwa kwa hawa watu weupe wakidhani ni watu salama View attachment 1549249View attachment 1549250View attachment 1549252View attachment 1549251
Nitapata wap hii taarifa in detail
Alikamatiwa Namanga - akielekea Tanzania. Angevuka Mpaka, Arusha, Moshi Na Dar kungewaka Moto. Haswa wale wanaopenda kwenda pale Cape Town Fish Market - wangeliwa sana pale.Hatari sana hii......natumaini hakufika Tanzania.........
Afungwe kwa kosa gani Dada. Yeye si alikuwa anatumia dola zake ama alibaka kwaniSerikali ya Kenya ikamuachia akarudi kwao?
Alipashwa afungwe Kenya abadilishwe yeye awe naniliiii