Kwanini ushikilie Israel inaweza kumezwa na Palestina kwani wao Palestina hawawezi kumezwa na Israel?Sio lazima wawe taifa,,Tanzania yenyewe miaka 200 ijayo haitakuwa kama hii ya leo,
Populationwise israel inaweza jikuta inamezwa na palestine miaka hiyo,,yaani nature,natural selection ndo itaamua
Videge vilitoka wapi 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣Pale Palestina kuna eneo takatifu lililotajwa kwenye Qur'an ambapo ni kama ngazi aliyotumia mtume Muhammada s.a.w kupanda mbinguni.Hilo linajulikana wazi na waisrael na kwa vile ni watu wa njama kila siku kutaka kushindana na muumba wao wanajaribu kupahodhi ili wajitangazie ushindi mbele ya Allah aliyetukuka.Kama una akili timamu na unajuwa nguvu zake huwezi kupata shaka kuwa eneo hilo hata walizungushie nyuklia na hapo ndani wazuie waislamu wote kuingia hawatoweza kulidhibiti.
Kumbuka jeshi la Abraha lililokuwa na silaha nzito walipotaka kuiteka Alkaaba wasimamizi wa nyumba hiyo walisema wao ni dhaifu hawawezi kushindana na jeshi hilo na wanamwachia mwenyewe alilinde.Hakuna aliyeweza kuingia hapo na wote walipigwa na videge vidogo dogo vilivyotoka jahannamu na askari wote na kamanda wao wakawa kama majani yaliyotapikwa na wanyama..
Hawa wafalme wanaozunguka nyumba ya Alaqsa kama hawawezi kusaidia kuilinda ni hasara kwao na haimahanishi ushindi kwa Israel.
Nchi ya ISRAEL ilianzishwa 1948 baada ya kwisha vita vya pili vya Dunia..Ndo hivyo dunia itatawaliwa na wenye nguvu. Sema naskia waisrael walipigwa na wapalestina many years back wakaenda Europe then waliporudi wakatumia ustarabu kanakwamba wanaomba eneo kidogo ko mipaka sahii haieleweki.Hata hivyo imeandikwa hivyo Vita sisi wanadamu hatuwezi kuvimaliza.
Exactly huyo ndio alitoa suluhisho zuri ila wao wakampuuza na ndio maana vurugu mtindo mmoja. Haiwezekani ratio ya ardhi inazidi kupanuliwa kila kukicha. Kma wangekuwa wanataka amani wangerejesha mipaka ya kabla ya 1967 at least za pendekezo la 55:45.Mkuu huyu Folke Bernadott ndiye yule mpatanishi wa Kwanza wa UN kuhusu huu mgogoro aliyeuawa na magaidi wa Israel (Lehi) chini ya Yitzakh Shamir aliyekuja baadae kuwa waziri mkuu wa Israel miaka ya 1980 mpaka kipindi cha vita ya kwanza ya Ghuba?
Kama ndiye yeye sidhani kama ni sahihi kumuita mzizi wa huu mgogoro ila mzizi wa huu mgogoro ni uanzishwaji wa dola ya kiyahudi kwenye makazi ya Wapalestina yaliyokuwa chini ya uangalizi wa Uingereza mpaka mwaka 1948.
Labda tuseme kuuawa kwake kulikwamisha mgogoro huu kupatiwa ufumbuzi kipindi kile ukiwa kwenye hatua za awali.
Ila kumbuka hawa magaidi wa Lehi waliomuua Bernadott walifanya hivyo ili kumzuia kumshawishi Ben Gurion (waziri mkuu wa Israel wakati huo) na UN waridhie pendekezo lake la kuigawa hiyo ardhi, ila hawakujua kama Waziri mkuu Ben Gurion alishakataa pendekezo hilo kitambo.
Kwa mashariki ya kati hakuna vitega uchumu ambavyo wanaweza kuzalisha pesa ya kutosha kuendsha nchi zao bila mafuta, wana hifadhi ya pesa kwabwa kushinda Tz ni sawa ila ina kikomo, Tz tuna za miezi 6, na tunaanzisha mingine kwa ajili ya maliasili ni sawa, wao wanaweza kuwa na za miaka 2 au 10, ila zitaisha, inabidi wazalishe bizaa na kuuza huduma kama china ili wapunguze utegemezi wa mali asili, na hio ni safari ndefu.Sio kweli kuwa mafuta yakishuka thamani watahaha. Hizo nchi ulizotaja zimewekeza kwenye Sovereign Wealth Fund ambapo pesa za mafuta zinaingizwa kwenye skimu maalum ili ziweze kuzalisha pesa kupitia vitega uchumi mbalimbali hivyo hta mafuta yakikauka watakua na hazina ya kuwatosha hadi miaka 100+ bila kuuza mafuta.
TZ pia tunaanzisha SWF ili hta gesi ikiisha iwe na kibubu chake ambacho kinatunza pesa zinazotoka huko. Hivyo hta dhahabu au gesi zikikauka tutakua na alternative funds za kuinvest.
Hivi hawa Wayahudi asili yao ni wapi? kwani kila mahali wanaambiwa ni wa kuja, hili swali lisipojibiwa itakua vigumu kumaliza huo mgogoro.Nchi ya ISRAEL ilianzishwa 1948 baada ya kwisha vita vya pili vya Dunia..
Sababu kubwa ya kuanzishwa Taifa la Waisrael ni kutokana na mateso waliyopata kutoka Kwa Hitler
Kwanza ilipendekezwa wapewe Ardhi Uganda,baadae ndio wakapewa Ardhi Palestina
Nchi ya Israel ilianza kupanuka pale Waisrael walipoanza kununua Ardhi kutoka Kwa Wapalestina
1967 Israel ilipigana na Nchi za Kiarabu,vita vijulikanavyo kama vita vya siku sita
Kwa masada wa Mataifa makubwa Israel ilishinda vita vile
Ushindi wa vita vile iliifanya Israel ikombe Ardhi kubwa ya Palestine ambayo hawajairejesha mpaka leo
Cha kushangaza Waisrael wanawafanyia WaPalestina yale yale waliyofanyiwa wao na Hitler
Habari hizi zinapatikana katika Qur'an kwenye sura nzima iliyoteremshwa kwa ajili yake na kuonesha hali ilivyo Mwenyezi Mungu anapokasirishwa.Adhabu halisi si hapa duniani ni huko akhera.Videge vilitoka wapi 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Wayahudi wa kweli asili yao ni Palestine,Warabu na Wayahudi ni binami,wanatoka katika ukoo mmoja..Hivi hawa Wayahudi asili yao ni wapi? kwani kila mahali wanaambiwa ni wa kuja, hili swali lisipojibiwa itakua vigumu kumaliza huo mgogoro.
Map ya Bible inaonyesha hilo eneo karibu lote ni Israel na karibia robo ya Syria nayo ni Israel.Kweli Mkuu, hata Wenyewe wanajiita mabinami,hata lugha zimefanana
Lakini kiukweli Muisrael anamuonea sana Mpalestina,akisaidiwa na Mmarekani..
Mpalestina hana mtetezi,Majuzi tu Warabu wa middle East,Qatar,Baharain, Sudan na wengine wanafatia wamefanya ushirikiano wa kibalozi na Israel..
Taifa teule limekuwa taifa kamdamizi wakisadiwa na Mataifa makubwa..
Musa aka Moses allpowaondoa Wayahadi aliamrishwa na na Mungu awapeleke Mlima wa Sinai..Kwenye Bible ardhi ya Israel waliyopewa inafika mpka Iraq na Ndani ya mto nile yaani lijipande la Misri. Kma kweli mnafuata vitabu vya dini kwa nni msiende hadi Iraq ambapo mpaka upo Tigris na Euphrates? Ama Biblia ilisema ni palestina tu?
Kingine je kila mtu akiamua kurudi kwenye ardhi yake ya kale nani atapona? Ethiopia wakidai Yemen, Ug waidai Bukoba na Kivu, kenya wadai kipande cha somalia, somalia nao waidai Ogaden kutoka Ethiopia n.k kuna mtu atakubali?
Kingine usichofaham wayahudi walishakuta watu wanaishi hapo, na mind you hawakuua wote so na hta Suleiman alipotaka kuua masalia yao akapigwa laana na Mungu. Je kma kuua wacanaan walilaaniwa why wakiua wapalestina mnadai walibarikiwa.
Naomba ujibu hoja kwa hoja kwa faida ya wasomaji.
NB: Kabla hujajibu hii post naomba umgoogle mtu anaitwa Folke Bernadottw. Ndio mzizi wa huu mgogoro
Nikama tu wanajaribu kusolve maswala ya energy kuepuka mafuta hapohapo wanajaribu kutengeneza polymer mpya zitaweza kuliplace metals ko demand ita baki palepaleHizi bidhaa za madini ya kutoka ardhini ni mipango ya Mwenyezi Mungu kuwarahisishia wanadamu maisha ili wamuabudu kwa vizuri na pia wayafurahie maisha.Hivyo hata uvumbuzi uende mbali vipi utazunguka hapa hapa katika vitu vya asili kabisa siyo vile vilivyokarabatiwa kwa gharama kama miwa kuzalisha umeme au mbegu za nyonyo kutoa mafuta..
Wayahudi hawana Ardhi hawa ni Watu Waliokuwa hawakai sehemu Mmoja,Kama vile WamasaiMap ya Bible inaonyesha hilo eneo karibu lote ni Israel na karibia robo ya Syria nayo ni Israel.
Waarabu wana matatizo sana.
Middle eastHivi hawa Wayahudi asili yao ni wapi? kwani kila mahali wanaambiwa ni wa kuja, hili swali lisipojibiwa itakua vigumu kumaliza huo mgogoro.
Mkuu kuwekeza sio lazima middle east huoni wanawekeza nchi za magharibi.... Wananunua hisa za makampuni makubwa, wananunua vilabu vya michezo, wanawekeza kwenye real estate n.k hivyo hta mafuta yakikata leo bado wanaweza sustain uchumi wao kwa miaka zaidi ya 100.Kwa mashariki ya kati hakuna vitega uchumu ambavyo wanaweza kuzalisha pesa ya kutosha kuendsha nchi zao bila mafuta, wana hifadhi ya pesa kwabwa kushinda Tz ni sawa ila ina kikomo, Tz tuna za miezi 6, na tunaanzisha mingine kwa ajili ya maliasili ni sawa, wao wanaweza kuwa na za miaka 2 au 10, ila zitaisha, inabidi wazalishe bizaa na kuuza huduma kama china ili wapunguze utegemezi wa mali asili, na hio ni safari ndefu.
Katika vitabu vya dini hamna hata kitabu kimoja kilichotaja Taifa la Israel,katika vitabu vya dini Wayahudi wanatajwa kama watu sio Taifa..Huu mgogoro ni wa kawaida tu,ni mapito tu ya history,,hata waisrael walitawaliwa na wafilist enzi hawajawa taifa,,na hata baada ya hapo,waisrael walitawaliwa na wamisri,waasyria,waaram,wababel,wairan,wagiriki,warumi,waturuki etc,kwa maelfu ya miaka,
Israel iko palestina kwa chini ya miaka 80,,hiki ni kipindi kifupi mno,,miaka 200 ijayo habari itakuwa nyingine kabisa
Asante Sana, najua wananunua vitu mbali mbali nchi za magharibi, kama tutaweza kuusoma uchumi wa maghari na china kwa undani sio wa kwenye media tutajua kama watafaidika au laa, tuache ya kwao tutafute tiba ya nyumbani.Mkuu kuwekeza sio lazima middle east huoni wanawekeza nchi za magharibi.... Wananunua hisa za makampuni makubwa, wananunua vilabu vya michezo, wanawekeza kwenye real estate n.k hivyo hta mafuta yakikata leo bado wanaweza sustain uchumi wao kwa miaka zaidi ya 100.
Uchumi hauelekei huko kwenye bidhaa kma unavyodai ila service sector inaweza kukupa matrilion hta kma hauna bidhaa. Macau hawana bidhaa ila inategemea casino zinazojaza watalii kuingiza matrilion ya shilingi kila mwaka. .
Hta US bidhaa tu yaani trade in goods inapigwa mbali sana na nchi kibao ila ikija kwenye financial Assets na trade in services wapo vizuri. So sio lazima uuze bidhaa za kushikika ndio uchumi ukue.
Mifano ipi mingi sana
Ipi, kwani hapo walipo ni middle east na kuna wanaodai sio kwaoMiddle east
Joshua 1:4Musa aka Moses allpowaondoa Waayahadu aliamrishwa na na Mungu awapeleke Mlima wa Sinai..
Katika mlima wa Sinai ndipo Musa alipopewa amri kumi za Mungu,baada ya kutanga tanga na Jangwa Kwa muda wa miaka 40..
Hii Stori yako kuwa Waisrael walipewa Ardhi mpaka Iraq umeitoa Biblia gani ya Ngwajima??
Abraham alikua katokea Ur huko Mesopotamia na Canaan/Israel ilikua na makabila 13 tayari. Kwahiyo hapo walivamia tu na kuua wenyeji ndio wakapachukua. so hapakuwa kwao na huo ndio ukweli ambao wengi hatupendi kuukiri.Ipi, kwani hapo walipo ni middle east na kuna wanaodai sio kwao
Hii Ur, Mesopotamia na Canaan kwa sasa zina majina gani?Abraham alikua katokea Ur huko Mesopotamia na Canaan/Israel ilikua na makabila 13 tayari. Kwahiyo hapo walivamia tu na kuua wenyeji ndio wakapachukua. so hapakuwa kwao na huo ndio ukweli ambao wengi hatupendi kuukiri.