Mike Pompeo afanya ziara ya hasira Israel, atoa ya moyoni

Mike Pompeo afanya ziara ya hasira Israel, atoa ya moyoni

Mkuu kuwekeza sio lazima middle east huoni wanawekeza nchi za magharibi.... Wananunua hisa za makampuni makubwa, wananunua vilabu vya michezo, wanawekeza kwenye real estate n.k hivyo hta mafuta yakikata leo bado wanaweza sustain uchumi wao kwa miaka zaidi ya 100.

Uchumi hauelekei huko kwenye bidhaa kma unavyodai ila service sector inaweza kukupa matrilion hta kma hauna bidhaa. Macau hawana bidhaa ila inategemea casino zinazojaza watalii kuingiza matrilion ya shilingi kila mwaka. .

Hta US bidhaa tu yaani trade in goods inapigwa mbali sana na nchi kibao ila ikija kwenye financial Assets na trade in services wapo vizuri. So sio lazima uuze bidhaa za kushikika ndio uchumi ukue.

Mifano ipi mingi

Joshua 1:4
Your territory will extend from the desert to Lebanon, and from the great river, the Euphrates—all the Hittite country—to the Mediterranean Sea in the west.

Ndio nmejengea hoja kma wanafuata mipaka ya bible kwanini wasivamie Iraq na Misri? ila wanawabana wapalestina pekee if at alp basis ya madai ni biblical borders .
Sina utaalamu na biblia lakini hiyo ibara ya Joshua 1:4 haikukaaa kilugha ya Mungu,imekaa kama ndoto fulani hivi ya mtu aliyepata Maruweruwe.Au inaweza kuwa lugha ya kisasa sana ya mwalimu wa Jiografia anayeziangalia nchi baada ya mkutano wa Berlin.
 
Kwanini ushikilie Israel inaweza kumezwa na Palestina kwani wao Palestina hawawezi kumezwa na Israel?

Angalia wakati huu ardhi ya Jerusalem mashariki,Hebron,ukingo wa magharibi ambayo walowezi wa kiyahudi wamenunua na wanaendelea kununua toka kwa Wapalestina na kuwahamisha kwa nguvu ili kuendeleza makazi yao, utasemaje huenda wakamezwa.
Kwasababu waisrael hawazaliani sana kama wapalestine,wale wanamaintain family planning
 
Kwa mashariki ya kati hakuna vitega uchumu ambavyo wanaweza kuzalisha pesa ya kutosha kuendsha nchi zao bila mafuta, wana hifadhi ya pesa kwabwa kushinda Tz ni sawa ila ina kikomo, Tz tuna za miezi 6, na tunaanzisha mingine kwa ajili ya maliasili ni sawa, wao wanaweza kuwa na za miaka 2 au 10, ila zitaisha, inabidi wazalishe bizaa na kuuza huduma kama china ili wapunguze utegemezi wa mali asili, na hio ni safari ndefu.
Tu assume unaongelea saud arabia,,hawa watu wamewekeza sana kwa makampuni ya magharibi,,mfano twitter,shareholder mkubwa pia ni tajiri wa saud,,hawa watu wananunua sana hisa makampuni makubwa,na sasa wanajitahidi kuanzisha viwanda kwa kasi,
 
Habari hizi zinapatikana katika Qur'an kwenye sura nzima iliyoteremshwa kwa ajili yake na kuonesha hali ilivyo Mwenyezi Mungu anapokasirishwa.Adhabu halisi si hapa duniani ni huko akhera. .Ina maana videge hivyo viitumwa kwa kazi maalum.Utajuwa pia kwanini waislamu ndio wa mwanzo kujua ufanisi na ukali wa mapigano kutoka angani.
Ukipenda Sura hiyo isikilize kutoka kwa Abdulbasit msomaji mahiri wa Qur'an kutoka Misri.

Kwahiyo mwenyezi Mungu akakasirika lakini adhabu sio leo Wala kesho ila siku ya kiama 🤣🤣🤣🤣🤣

Mtaibiwa hadi lini?
 
Jamaa anadai Mungu aliongea mwenyewe kupitia kinywa chake.
Kana kwamba alikuwa shuhuda wa hicho alichoandika. Afrika hiyo mkuu
 
Huyo mungu wenu angekuwa na nguvu si angewasaidia wapalestina tangu zaman[emoji522][emoji521][emoji3][emoji41][emoji534][emoji526][emoji523][emoji1647][emoji1648][emoji1649]Tatizo lako hujielewi ungejielewa ungejua Mungu ni mmoja tu.
 
Trump na pompeo wanamfanya mungu aonekane muongo,
Last time mfalme wa iran,king cyrus alipowatoa waisrael utumwani na kuwarudisha jerusalem na kuwapa fedha za kujenga upya mji wa jerusalem,mungu alimpya mfalme Cyrus cheo cha masiha,
This time arround,Trump alijiita masiha baada ya kukubali jerusalem iwe mji mkuu wa israel,
Mungu wa wayahudi aliwahi kusema,"nitamlaani atakaeilaani israel,nitambariki,atakaeibariki israel,"
Badala ya trump kubarikiwa,amepata mkosi wa kuukosa urais.
Unabii umeshindwa kutimia..
Huenda Mungu anamwaandaa kuwa mkuu wa malaika.

Sent from my TECNO K7 using JamiiForums mobile app
 
Kweli Mkuu, hata Wenyewe wanajiita mabinami,hata lugha zimefanana

Lakini kiukweli Muisrael anamuonea sana Mpalestina,akisaidiwa na Mmarekani..

Mpalestina hana mtetezi,Majuzi tu Warabu wa middle East,Qatar,Baharain, Sudan na wengine wanafatia wamefanya ushirikiano wa kibalozi na Israel..

Taifa teule limekuwa taifa kamdamizi wakisadiwa na Mataifa makubwa..
Hili taifa lilionewa sana, mpaka likapotea kabisa. Likaanza kujikusanya tena 1947, miaka 20 baadae nchi za kiarabu zikaungana ili kulipiga mande, likapigana mpaka tone la mwisho likashinda. Linajua lilipokosea mwanzoni na halitaki tena kuruhusu hayo yatokee.

Sent from my TECNO K7 using JamiiForums mobile app
 
Pale Palestina kuna eneo takatifu lililotajwa kwenye Qur'an ambapo ni kama ngazi aliyotumia mtume Muhammada s.a.w kupanda mbinguni.Hilo linajulikana wazi na waisrael na kwa vile ni watu wa njama kila siku kutaka kushindana na muumba wao wanajaribu kupahodhi ili wajitangazie ushindi mbele ya Allah aliyetukuka.Kama una akili timamu na unajuwa nguvu zake huwezi kupata shaka kuwa eneo hilo hata walizungushie nyuklia na hapo ndani wazuie waislamu wote kuingia hawatoweza kulidhibiti.
Kumbuka jeshi la Abraha lililokuwa na silaha nzito walipotaka kuiteka Alkaaba wasimamizi wa nyumba hiyo walisema wao ni dhaifu hawawezi kushindana na jeshi hilo na wanamwachia mwenyewe alilinde.Hakuna aliyeweza kuingia hapo na wote walipigwa na videge vidogo dogo vilivyotoka jahannamu na askari wote na kamanda wao wakawa kama majani yaliyotapikwa na wanyama..
Hawa wafalme wanaozunguka nyumba ya Alaqsa kama hawawezi kusaidia kuilinda ni hasara kwao na haimahanishi ushindi kwa Israel.
Story za kutunga hizi, hakuna cha ndege kutoka kuzimu.

Sent from my TECNO K7 using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom