Naomben ushaur nataka nilipuke na r madrid na a madrid?timu 2 niweke elf 20 nipate elf 29 kesho
nakushauri mtoe atletico umpe man city coz rayo valocano hawanaga shobo wale
thanx mkuu but game ya man c ni more 50/50.Mtazamo wangu pelegrin akipanga km v ncastle lìv wanashnda.
ni kweli game iko ngumu sana ila kwa mancity anapokua kwake kushnda ni 90%. Angekua chelsea sawa ingekua ngum coz jamaa wakiamua kupak contena si mchezo. Ila kwa timu kama liva haina ngome madhubuti kupak contena
tutakufa pamoja mkuuMan city 6/1 kuipiga Liverpool , ntakufa nayo hii price
Mkuu mi huwa natumia master card na visa card za NBC kudeposit bet365 hazina complication hizi. Ila ishu inakuja unapofanya your first withdrawhivi wale ambao mshadeposit pesa kwenye makampuni makubwa kama Ladbrokes, Bwin, Bet365 n.k kwa kutumia visa card au mastercard....mnatumia benki gani? maana mimi hawa CRDB wananizingua tu, transaction inagoma...msaada plz
Mkuu mi huwa natumia master card na visa card za NBC kudeposit bet365 hazina complication hizi. Ila ishu inakuja unapofanya your first withdraw
Mkuu mi huwa natumia master card na visa card za NBC kudeposit bet365 hazina complication hizi. Ila ishu inakuja unapofanya your first withdraw
Normal first withdraw lazima ichukue mda 5-7days after that siku 2-3
asante mkuu, vipi kadi za hawa NBC zinakuwa zipo linked moja kwa moja na online purchasing...au mpaka activation? hawa CRDB wamenichosha kwenye activation