Mikeka: Wazee wenzangu wa kuweka mzigo, karibuni tubashiri mechi za leo

Acc yangu meridian ina elf 50 leo naicheza yote kwny carling na ucl...wafe meridian au nife mm

Na kwa muhindi naenda kucheza vilevile


wewe ni miongoni mwa watu watakao kuja kufanikiwa sana Tanzania coz you always willing to take risk.....
usiache kuweka mkeka na sisi tutoe macho
 
Mimi mambo ya online nilitaka nijiunge ila nisjaghairi nitaendelea na makaratas
 
NEWCASTLE....MAN UTD.... NORWICH....DERBY....BOURNEMOUTH...SWANSEA.........LEICESTER NA WEST BROM...... inakuaje hapo wakuu...dau 6300...pocbo win 112000
 
NEWCASTLE....MAN UTD.... NORWICH....DERBY....BOURNEMOUTH...SWANSEA.........LEICESTER NA WEST BROM...... inakuaje hapo wakuu...dau 6300...pocbo win 112000

Mkuu mkeka mkubwa huo, kata kidogo alafu ongeza mpunga, by the way jina lako noma, hahahaha
 
Mtu atupie basi timu tatu au nne..... Zifikishe point 4....tuweke 30... Upate 120000......
 
mkuu mkeka mkubwa huo, kata kidogo alafu ongeza mpunga, by the way jina lako noma, hahahaha

meridian bana wananipa tabu wana mechi nyingi sana...... Nchagulie nne hapa....
 

Attachments

  • 2014-08-25--22_08_36.jpg
    33.3 KB · Views: 92
Wakuu msibet kwa kuangalia jina la timu, tuangalie price, whats the point ya kubet Man utd vs Mk Dons na wakati price ya Man utd kushinda ni very cheap, unrisk 10.000 kwa kupata 12.000?
 
Wakuu msibet kwa kuangalia jina la timu, tuangalie price, whats the point ya kubet Man utd vs Mk Dons na wakati price ya Man utd kushinda ni very cheap, unrisk 10.000 kwa kupata 12.000?

Ahah hata mashabiki wa man utd tu hawaiamini team yao na hawabet.. Sasa nashangaa watu bado wanaidhamini wakti performance yake ni poor.. Kuna watu wamezoea kuliwa hela arghhh
 
Mkuu mkeka mkubwa huo, kata kidogo alafu ongeza mpunga, by the way jina lako noma, hahahaha

Mkuu sometimes hi theory yakusema timu nyingi sio kweli, kama kuna mtu anaweka timu moja na anapigwa hapo vipi sasa? mie nimewai kuweka timu 32 na zote nikapiga hela nzuri tu, ukisema apunguze timu what if hizo timu mbili alizochukua ndo zinapoteza zote? kuna mtu alijua Atletico ata Draw jana? hapa ni mwendo wa bahati tu
 

Ukweli unabak palepale team nying ni rahs kukosa

tangu nimeqnza kutumia theory ya team chache nimejikuta nakula kila mara
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…