Mikeka: Wazee wenzangu wa kuweka mzigo, karibuni tubashiri mechi za leo

Wadau mpo? Mi leo naweka game 1 tu ya congo na cameroun na nampa ushindi congo.
 
Wakuu hivi ile nakuta watu wanacheza bet ya namba ndio inakuwaje
 
Unaweka shi ngapi? Mie nitampa Algeria , Cameroon naweka 20000

Boss nimeweka 15000. Ila nina wasiwasi sana na cameroon. Maana congo yupo nyumbani, halafu mipira ya africa una advantage ya kufanya fitina ukichezea nyumbani
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…