MENEMENE TEKERI NA PERESI
JF-Expert Member
- Mar 11, 2022
- 5,392
- 14,646
Sielewi kwanini mnamlalamikia huyu jamaa, bonyeza Id yake Kisha mu ignore... Hutokaa uone post yake tena, as simple as thatJaman hii ni kero Sasa Moods/Admn pls remove huyu Kayombo tushamwambia aache mambo ya Utapel lakn hasikii[emoji24][emoji24][emoji24][emoji20][emoji20][emoji20]
1D9B51Nipeni sure odd ya 1.60 nataka kuiga january kwa kuwashangaza ndugu niwatumie hata elfu ishirini kila mmoja wanitangaze niliuwa wazazi wao kutoa kafara
Sent from my SM-J410F using JamiiForums mobile app
amekutapeli kivipi mkui toa ushahidi uliokamilika Maxence Melo amchukulie hatua.Jaman hii ni kero Sasa Moods/Admn pls remove huyu Kayombo tushamwambia aache mambo ya Utapel lakn hasikii[emoji24][emoji24][emoji24][emoji20][emoji20][emoji20]
WakuuJaman hii ni kero Sasa Moods/Admn pls remove huyu Kayombo tushamwambia aache mambo ya Utapel lakn hasikii
Jaman hii ni kero Sasa Moods/Admn pls remove huyu Kayombo tushamwambia aache mambo ya Utapel lakn hasikii
Mkuu useme nimekutapeli nini mimi? Na kama kuna yeyote nimemtumia ujumbe inbox aweke ushahidi hapa. Mimi kuweka Code na tangazo linalo husiana na uzi nageuka kuwa tapeli? Mkuu Slee naomba uweke ushahidi wa utapeli wangu hapa au yeyote ambaye nishamtumia ujumbe wowote inbox alete hapaJaman hii ni kero Sasa Moods/Admn pls remove huyu Kayombo tushamwambia aache mambo ya Utapel lakn hasikii[emoji24][emoji24][emoji24][emoji20][emoji20][emoji20]
Nimeshafanya jambo langu.Sielewi kwanini mnamlalamikia huyu jamaa, bonyeza Id yake Kisha mu ignore... Hutokaa uone post yake tena, as simple as that
Mkuu niambie nimekutapeli nini mimi? Pia kama kuna yeyote nimemtapeli iwe ni hapa au nje ya hapa aseme. Nina page X na telegram channel kuna watu wamejoin, kama kuna yeyote aliye kwenye channel ya telegram na X amewahi kutumiwa ujumbe wowote na mimi aseme. Pia, ni watu wengi wamejisajili na kujiunga kupitia promo code ninayo weka, lakini hakuna hata mmoja ameombwa chochote au hata kuwasiliana na mimi.Jaman hii ni kero Sasa Moods/Admn pls remove huyu Kayombo tushamwambia aache mambo ya Utapel lakn hasikii[emoji24][emoji24][emoji24][emoji20][emoji20][emoji20]
Yaallah!Jaman hii ni kero Sasa Moods/Admn pls remove huyu Kayombo tushamwambia aache mambo ya Utapel lakn hasikii[emoji24][emoji24][emoji24][emoji20][emoji20][emoji20]
Dawa yake ni kumuweka kwenye ignore list tu maana hasikiiAcha ushamba bro,nenda X au facebook huko.
Hata mimi nmesha mu-ignoreNimeshafanya jambo langu.
Thanks kwa kushare.
Nilikuambia that day,Wakuu
Mkuu useme nimekutapeli nini mimi? Na kama kuna yeyote nimemtumia ujumbe inbox aweke ushahidi hapa. Mimi kuweka Code na tangazo linalo husiana na uzi nageuka kuwa tapeli? Mkuu Slee naomba uweke ushahidi wa utapeli wangu hapa au yeyote ambaye nishamtumia ujumbe wowote inbox alete hapa
Mkuu hakuna sehemu ambayo huwa naficha Tips. Kila nikipost kitu lazima naweka na Booking Code ambayo ndiyo imebeba tips. Sasa utapeli hapo uko wapi? Sijawahi kupost chochote bila kuweka Tips. Huwa naweka tips na idadi ya odds. Ni wapi ambapo nilificha tips? Halafu mbona tips ninazo weka zipo zinawin na zipo zinazo lose kama wote wanavyo post hapa?Nilikuambia that day,
Ukiweka Link inayohitaji mtu ajiunge kwenye kampuni ya kubet na kuweka code yako means upo kujitangaza wewe na kupata commission zaidi kuliko kutoa tips watu washinde.
Uzi haukuanzishwa kwa malengo hayo kaka. Kama una tips weka hadharani, sio unazifichia kwenye links.
Ahsante Joanah hii nikitoboa hata mahari nakuja kukulipia kabisa1D9B51
1.8 odds
Rejea post zangu zote ambazo nimewahi kuweka hapa zina tips pamoja na link za kwenda kubetia kwenye kampuni husika. Lazima booking Code naweka na link ya kujisajili.Nilikuambia that day,
Ukiweka Link inayohitaji mtu ajiunge kwenye kampuni ya kubet na kuweka code yako means upo kujitangaza wewe na kupata commission zaidi kuliko kutoa tips watu washinde.
Uzi haukuanzishwa kwa malengo hayo kaka. Kama una tips weka hadharani, sio unazifichia kwenye links.
SB