Msela Wa Kitaa
JF-Expert Member
- Oct 8, 2021
- 1,396
- 2,704
jamaa hauboikafanyaje mkuu mbona unataka kulia lia wakati watu tunafurahia won au umesahau wanasiasa wakivimbiwa wao wanajua wote mmevimbiwa sasa kwanin unataka kunihalibia shuhur nabii wenu nimewin wote mmewin sitaki vilio leo wote chekeni enjoini furain
haya mambo bhanaNikawakimbia Uto na Atletico nikaja kuangukia kwa Napoli
Endelea kunywa sungura yako hapo ubandani chief🤣🤣Asante liver puu kwa over 2.5 asante yanga kwa over 1.5 asante pia kwangu mwenyewe kwa kuweka mkeka uka win m30 kwa odd 15 hizi ni za supu na malaya namngoja aseno anipe over 0.5 na man city over 0.5 kesho win saa nne wakuu hv naweza pata hotel ya m10 kwa masaa matatu hapa tz ili nichukue chopa langu fasta nije mana mi hela yangu haitakiwi kukutana kesho ya leo namaliza leo nikiacha kesho sipati pesa afu wakuu kwa hapa bongo malaya wa m10 nampata wapi nipen location na atae nipa location nzur namnunuria cruse mpya kilometa 0.0 njoen pm tuyajenge nimetumwa kuja kula bata kujenga na maendeleo tutafanya kaburin dunia yenyewe nakaa miaka 60 miaka bilion yote kaburin yanini kujenga ya nn kuwa na mali yann kuoa ya nn kuwa na watoto yanin kulia lia umeme unakatika umeme ukikatika nunua solla watt 500 umeme mpaka chini ya uvungu mnalia lia na umeme wakati umeme wenyewe ukisimama karibu na taa unakiona kivul chako achen mi nile bata wakuu msisahau location tuendelee kubet
mr pipa siku ukipata hela uje apa Kariakoo nikuuzie Smartphone kwa Discount ya zaidi ya 45% off, Hii offer ni kwa ajili yako tu maana unateseka sana kuandika na iko kitochi chako.Asante liver puu kwa over 2.5 asante yanga kwa over 1.5 asante pia kwangu mwenyewe kwa kuweka mkeka uka win m30 kwa odd 15 hizi ni za supu na malaya namngoja aseno anipe over 0.5 na man city over 0.5 kesho win saa nne wakuu hv naweza pata hotel ya m10 kwa masaa matatu hapa tz ili nichukue chopa langu fasta nije mana mi hela yangu haitakiwi kukutana kesho ya leo namaliza leo nikiacha kesho sipati pesa afu wakuu kwa hapa bongo malaya wa m10 nampata wapi nipen location na atae nipa location nzur namnunuria cruse mpya kilometa 0.0 njoen pm tuyajenge nimetumwa kuja kula bata kujenga na maendeleo tutafanya kaburin dunia yenyewe nakaa miaka 60 miaka bilion yote kaburin yanini kujenga ya nn kuwa na mali yann kuoa ya nn kuwa na watoto yanin kulia lia umeme unakatika umeme ukikatika nunua solla watt 500 umeme mpaka chini ya uvungu mnalia lia na umeme wakati umeme wenyewe ukisimama karibu na taa unakiona kivul chako achen mi nile bata wakuu msisahau location tuendelee kubet
Mimi huwa hata sisomi maandishi ambayo hayana aya.mr pipa siku ukipata hela uje apa Kariakoo nikuuzie Smartphone kwa Discount ya zaidi ya 45% off, Hii offer ni kwa ajili yako tu maana unateseka sana kuandika na iko kitochi chako.
Notify me when you're ready
Acha tu yaani Kanji anatuokota hasaAu wamuokote
Ka moja TU dk ya 78 over 2.5 itatoa kwelikafanyaje mkuu mbona unataka kulia lia wakati watu tunafurahia won au umesahau wanasiasa wakivimbiwa wao wanajua wote mmevimbiwa sasa kwanin unataka kunihalibia shuhur nabii wenu nimewin wote mmewin sitaki vilio leo wote chekeni enjoini furain
Mkuu nini tena kimetokea?Bora ningejifunza kuvuta bangi aisee kuliko kubet