Mikeka: Wazee wenzangu wa kuweka mzigo, karibuni tubashiri mechi za leo

Nipo nipo kiaina mkuu
Jukwaa sasa hivi lina kizazi kipya....... Mapambano yanaendelea [emoji1434]
vp kizazi kinasongesha swalama gurudumu, ila kizaz hk kina code za ukwelii
 
Kitu icho tia 300 tu ule elf 14 kipo live pesa ya gest hiyo ukikosa ujue una laana ya sa100
Odds40


8A516204


AF85E6A [emoji117] odds 30 hizo[emoji16]
pamoja sana ila nimechelewa
 
Tusubiri dk 90 mkuu mana kwenye mpira lolote linaweza kutokea sisi tunatabiri kulingana na elim ya unajim lakini wanao cheza ni wengine [emoji1431]
Unajua maana ya hii option lakini
[emoji116][emoji116][emoji116]kuna neno mbele (to qualify )
Du nimechukia sana mimi nilijua to qualify mechi itakwenda hadi dakika 30 za nyongeza na kufika penalty kama zitakuwa droo ...kumbe some time to qualify inategemea point [emoji849][emoji849][emoji849][emoji849][emoji849]
 
Kama ni rahisi hivyo kwann usiunde mkeka wa timu 50 kwa double chance ili uweke hata 20k ...umpige kanji?
 
Wewe ni msengerema
 
Kwani Aseno ana hali gani huko mnao angalia game live?

1Half Shots on target 0 [emoji15]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…