Kichwa Kichafu
JF-Expert Member
- Apr 13, 2017
- 44,855
- 189,385
Mimi nikipost mkeka jf napigwa za uso kama jana sijapost nimekula hadi mimeshiba
Mpe[emoji3514]Wadau vipi nikimpa lazio goli Moja tu mbele ya Bayern itakubali kweli
Hakuna sure odds. Asidanganywe mtu.Wakuu habari za mchana,
Hopefully wote tuko poa, tunaumiza vichwa jinsi ya kumpasua mhindi. Sasa kuna jambo moja limenigusa nimeona ngoja nilizungumze hapa. Nafkiri dhima kuu ya muanzilishi wa Uzi huu ilikua ni kushirikishana mawazo na maarifa mbalimbali katika kuweka mikeka ili tuweze kutoboa na nafkiri watu wengi pia wamewahi kufaidika humu kutokana na codes zilizotumwa na wengine humu.
Sasa, kuna tabia ilizuka ya baadhi ya members kuna kwenye Uzi wetu huu na kuleta mambo ya biashara za kuuza codes, ila wameona haitoshi mtu anakufuata kabisa inbox. Eti mkuu, kuna jamaa anauza sure odds laki mbili, unaonaje tukichanga ili tununue? For real? Kweli tumefikia huko? Hivi nitakua mpumbavu kiasi gani eti nitoe pesa kwaajili ya kununua sure odds wakati najua kabisa kwamba betting is probability? Naomba wenye hizi tabia mjiheshimu aisee. Sisi wote nia ni kumuumiza kanji ila wenzetu mmgeuka mnataka kutuumiza sisi wenzenu. Hizo mambo hazifai, wewe kama una source yako unanunua baki nayo huko, sisi tutaendelea kushare codes na insha'Allah one day tutatusua tu, pelekeni upumbavu wenu hukooo kwa washamba wa kubet!
Aisee!Hakuna sure odds. Asidanganywe mtu.
kajichanganya kuedit.Hapa imekaaje?View attachment 2925448
Sijaona tatizo mbona, si kaweka over 5.5 total corners, sasa hapo si zimefika 9 Kuna tatizo Gani?kajichanganya kuedit.
huyu jamaa ni tapeli na channel yake. nilishamshtukia tangu kitambo tu. anakujaga na IDs tofautitofauti kutangaza channel yake ya kitapeli.
odds halisi za hiyo betslip ni 1.1, angalia vizuri picha. kujipakulia minyama kaedit odds 2.142.Sijaona tatizo mbona, si kaweka over 5.5 total corners, sasa hapo si zimefika 9 Kuna tatizo Gani?
Angalia kwenye wining odd mkeka umewini kwa 1.1 kivipi?Sijaona tatizo mbona, si kaweka over 5.5 total corners, sasa hapo si zimefika 9 Kuna tatizo Gani?
Sio kwamba mechi zilikua nyingi amecropAngalia kwenye wining odd mkeka umewini kwa 1.1 kivipi?
kajichanganya kuedit.
huyu jamaa ni tapeli na channel yake. nilishamshtukia tangu kitambo tu. anakujaga na IDs tofautitofauti kutangaza channel yake ya kitapeli.
inaweza kuwa sawa. lakini bado huyo jamaa ni tapeli. nilishaichunguza sana channel yake, imekaa kitapeli.Sio kwamba mechi zilikua nyingi amecrop
Wanaofanya screenshot ili waaminishe watu kua wanashinda ni matapeli tuinaweza kuwa sawa. lakini bado huyo jamaa ni tapeli. nilishaichunguza sana channel yake, imekaa kitapeli.
wakati naichunguza, free matches alikuwa hapost, yeye alikuwa anapost won slips kutoka kwenye group lake la VIP kutangaza VIP channel yake. kwahiyo ni tapeli.
kaichunguze na wewe channel yake ujionee.
Haifunguki mkuu, hebu iweke vizuriHawa jamaa wanajua aisee.
Wamekuonea huruma tu,maana inawezekana kipigo toka kwa Patel kinakujaHivi voda wana akili kweli yaani nimesuka mkeka wangu nataka niweke pesa huduma hazipo
Hawana akiliHivi voda wana akili kweli yaani nimesuka mkeka wangu nataka niweke pesa huduma hazipo