blackice2100
JF-Expert Member
- May 11, 2020
- 2,188
- 2,897
PFT3X
Mechi 4 tu zinapatikana, tatizo wengi wameshazoea matreni... Kwahiyo mtu anakua hakuelewi ukimpa odds 2/3 utakuta kazoea odds kuanzia 100. Ila silaumu, mimi mwenyewe nilianzia kwenye matreni, shida ni kwamba mtu anabaki alipo hataki ku-take risk na kupiga hatua. Unakuta mtu kabetia treni kapata 100K, kesho yake anatoa 90K anaacha 10K abetia treni nyingine 10 !!! Wakati anayo option ya kubetia 40,000 kwa mikeka 2 ya odds zisizozidi 4 na akapata faida nzuri tu. Ishu ni kwamba mtu anataka faida ya mamilioni kwa papo hapo ambayo ni ngumu sana!Kuna muda nafakali nabaki kujisonya tu,,,, hivi kweli nyota zetu ni chafu kiasi hiko kwamba vichwa vyote hivi tunakosa mechi nne tu japo tatu au nne za mitaji!!!
Kazi iko
Huo boss, jaribu bahati yako!M
Mechi Tano ni chache screen shot,,, tutembee nazo kwenye makampuni mengine
Hakuna kitu kinachoitwa nyota kwenye kamari....huu ni mchezo wa probability ...tunadhani kuwa itakuwa hivi au vile ila wanaocheza ni wachezaji...na kuna vitu vingi vinaathiri huu mchezo.Kuna muda nafakali nabaki kujisonya tu,,,, hivi kweli nyota zetu ni chafu kiasi hiko kwamba vichwa vyote hivi tunakosa mechi nne tu japo tatu au nne za mitaji!!!
Kazi iko
Hahaha kulikuwa moto Sana humu sema hela zenyewe hamna maisha magumu saa hivi hata wale wa laki mbili mbili match mbili siwaoniVipigo vinavyotembea lazma kupoe
Wazee wa kubet oyeeeeeeeeeeeeeeeeee!!!! 😀 😀 😀 😀 😀 😀 😀Kwenu wazee wa kubet
Aiseee[emoji3514][emoji3514][emoji3514]Aisee!
Napita nayo hii mkuu ila na edit hizi tatu;AlNassir, Porto &Bayern (double chance)
Safi MdauNapita nayo hii mkuu ila na edit hizi tatu;AlNassir, Porto &Bayern (double chance)