Mikeka: Wazee wenzangu wa kuweka mzigo, karibuni tubashiri mechi za leo

AC CARPI WIN OR DRAW
Trapani win or draw
2.40
Wekamkeeee
 
Wadau nataka nitie laki 9 hapa vipi nitataboa kweli wadau au nitapotea
 

Attachments

  • Screenshot_20240515-124126.jpg
    381.3 KB · Views: 7
Wadau nataka kutia laki 9 hapa vipi nitataboa au nitapotea ushauri ,enu muhimi wadau
 

Attachments

  • Screenshot_20240515-124126.jpg
    381.3 KB · Views: 6
Wadau nataka nitie laki 9 hapa vipi nitataboa kweli wadau au nitapotea
Mi huwaga nkitake kustake high Wala sitafuti odds sehem Wala kuwauliza wadau kama mkeka uko fresh Yani ni mm na halmashauri ya ubongo na kichwa changu afu natia mzigo . Hela n yangu ntakayeliwa ni mm ko sina mda wa kuuliza mawazo ya mtu mana hakuna anayeingia uwanjan kucheza Wala anayejua matokeo yatakuaje
 
Wadau nataka kutia laki 9 hapa vipi nitataboa au nitapotea ushauri ,enu muhimi wadau
Tia tu kaka,
1) Man U ni kimbonde Kwa Man City, pia Man City anawinda treble Tena

2) West Ham ndio atakaempa kombe Man City, anajua kabisa akilegeza tu Gunners kabeba so ataingia full mkoko.

3) Madrid na UEFA ni kama uji na mgonjwa, hakuna wa kuwatenganisha.
 
Poa
Poa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…