Shooter Again
JF-Expert Member
- Sep 6, 2022
- 5,603
- 9,263
Hizo weka wewe mkuu pesa sio karatasi huchezi wewe uwanjani mkuu mpaka unasema uhakika yaani 1m niwekwe kwenye mechi kama izo acha ziwin tuHiyo pesa yote weka kwenye hii code. 2D91FD.
Usipo weka utajutia sana. Hizo game zinatoa amini kwamba View attachment 2996854
Hizo weka wewe mkuu pesa sio karatasi huchezi wewe uwanjani mkuu mpaka unasema uhakika yaani 1m niwekwe kwenye mechi kama izo acha ziwin tu
Mkuu nenda bank kakope uwabetie kwani wewe hutaki helaSawa, wengi wana feli sababu ya uoga. Baadae nitakusogezea matokeo. Weka hizo unazo taka kuweka BVB akushangaze View attachment 2996860
Njoo pmaaah weka laki 9,,laki moja ni mpesa basi π«π«
Pamoja mkuuSwali la kwanza je unamudu kupoteza hicho kiwango je hakitukuathiri kisaikolojia au kiuchumi? Kama jibu ni ndio basi weka mzigo tu usikilizie mana Sheria ya maisha unarisk ili upate . Uwoga ndo umaskini wako ww kama unamudu kupoteza hcho kiwango na hakitukuathiri kisaikolojia au kiuchumi basi mi nasema stake tu nimepitisha hilo
ππππΎββοΈππΎββοΈππΎββοΈNjoo pm
Kiongozi tudondeshee code bas tuluke nayoHizo weka wewe mkuu pesa sio karatasi huchezi wewe uwanjani mkuu mpaka unasema uhakika yaani 1m niwekwe kwenye mechi kama izo acha ziwin tu
Hizo weka wewe mkuu pesa sio karatasi huchezi wewe uwanjani mkuu mpaka unasema uhakika yaani 1m niwekwe kwenye mechi kama izo acha ziwin tu
Hiyo pesa yote weka kwenye hii code. 2D91FD.
Usipo weka utajutia sana. Hizo game zinatoa amini kwamba View attachment 2996854
ππππ Ole wako wakala uchelewe kufungua kesho
Mkuu Asante,hii imetiki,alafu niliweka ela ndogo kwa hofu,Ila sio mbaya nimeipata ya supu ya asubuhi,ningeweka mzigo wa maana ungekuta navimba bar muda huu.
Aisee kumbe imeruka
Hii hapa Mdau: CF914DF
Hii imekaa Kiroho ngum kiasi,maana ni ngum kumeza,but is a game of Lucky
Hahaha imeisha hiyoππππ Ole wako wakala uchelewe kufungua kesho
Huko mbele Leverkusen utajua mwenyewe na Hali Yako muhim nimemaliza salama
Mjomba mbona unalazimisha ukila wewe inatoshaUoga ni mbaya sana, nilikuahidi matokeo. Ndio hayo mkuu, saizi ungekuwa na 2.2M. Acha uoga kama umeamua kuingia kwenye sekta ya kamali, kwa stake za namna yako inabidi utupilie mbali kitu uoga, muhimu ni kufanya upembuzi mzuri katika michezo utakayo weka. Karibu kwa mara nyingine.
Hapa utapata Basketball, Tennis na Handball pekee, Football sifahamu ata goli linafugwa vipi! View attachment 2997049
Hii kitu inaendaje mkuuHii Virtual ya BetPawa sijui leo imechanganyikiwa au la. Saa 12.30 hivi asubuhi nilianza na sh. 6,000/=, sasa hivi saa mbili na nusu nina sh. 45,000/=. Ngoja niziondoe, huwa zinapukutika π
View attachment 2997173