Sahihi mkuuKubet mkeka wa game kumi handicap kwa jero ili ule laki 5 ni ujinga na utaliwa daily. Bet ushindi wa kawaida kwa timu tatu za uhakika, weka hela ya ukweli. Utakula siku zote...
Inawezekana alicash out mapemaMkuu sikuelewa hapo nashukuru nilisha watuhumu
Mbona nashindwa kufungua accont na ku deposit 1xbet huwa mnafanyajeIla betting bhana,ukiwa siriaz hupati,sass fanya kama mzaa,inakushangazaView attachment 3072736
Umekwama sehemu gani? Mbona simple tu!Mbona nashindwa kufungua accont na ku deposit 1xbet huwa mnafanyaje
Mi nilianza na 2900 juzi sasa inefika 50kKongole kwa wote tuliombutua muhindi jana.Mi upande wangu nilitembea na live mechi ya liver,arsenal na West ham.
.Nikachomoka na 150,000 kwa capita ya 100k.
DISJ0NGK7CW568
Bet pawa under
Timu 60 , kupata timu 60 zote ni bahati ila kuna siku bahati itatiki.
Ningekuwa ww maana yake ningekuwa na 1.5M.Mi nilianza na 2900 juzi sasa inefika 50k
Kuchomoa kidogo kidogo muhimu. Unaweza ukajikuta umeliwa yote tena wakati umeitafuta kwa mapresha kibao mikeka inashindia dakika ya 96 huko!Ningekuwa ww maana yake ningekuwa na 1.5M.
Ila nishaanzaga na 50k 1x bet na kuipandisha hadi 800k ila nikaja butuliwa vibaya sana.
Ni fresh ukiwa unazichomoa faida.
SCREENSHOT HIZO GEMU MKUU KWA FAIDA YA WATU AMBAO WAMEDIPOST KWENYE KAMPUNI NYINGINE KAMA HAUTOJALIView attachment 3073093
🔥MKEKA WA SIKU PARIPESA
Booking Code: YRCZS
Jisajili PARIPESA Kwa Kutembelea Website Ya PARIPESA.
Usisahau Kuweka Promo Code👉👉 TIPS2424 ili upate bonus ya asilimia 100.
N.B Bonus utapewa mpaka uweke hela kwenye akaunti yako ya PARIPESA.