Hapana, labda uwasiliane na watoa huduma wafute, ila unaweza kufungua akaunti nyingine kwa kutumia namba nyingine.Je unaweza kufuta account ukaanza upya
Mtu na akili zako unaweza kubetia sport pesa na m bet Kwa Sasa hivi kweliHivi SportPesa wana app? Nimejaribu kuitafuta mara kwa mara bila mafanikio.
Mimi nadhani platform salama zaidi ni hizi zilizowekeza hasa kibongo hadi kwa timu kubwa mfano SportPesa na M-Bet maana ikitokea wakafanya udhulumati wana vingi vya kupoteza tofauti na hizo zingine za vichochoroni, kesho anaweza kufunga akakimbia.
Sijajua sheria zinawalinda kiasi gani haya makampuni kwa upande wa kulipa pesa za wateja.
🤣🤣Wewe jamaa mbona unapenda nongwa hivi?Mtu na akili zako unaweza kubetia sport pesa na m bet Kwa Sasa hivi kweli
Hamna nimeuliza tu maana m bet ndio kampuni la kishamba ikifuatiwa na hiyo sport pesa🤣🤣Wewe jamaa mbona unapenda nongwa hivi?
Kama hauna mipango ya kubeti kwenye mieleka na table tennis mbona fresh tu. Maana odds ni zile zile, labda games zinaongezeka hapa na pale ila tukiwa wa kweli tofauti hasa ni nini?Mtu na akili zako unaweza kubetia sport pesa na m bet Kwa Sasa hivi kweli
Nielimishe mkuu nipe darasa. Kampuni iliyokuwa tayari kuwekeza mabilioni kujitangaza sidhani kama unaweza kuiita ya kishamba. Hizo kampuni zina shida gani hasa ukiacha labda kutokuwa na options nyingi za michezo?Hamna nimeuliza tu maana m bet ndio kampuni la kishamba ikifuatiwa na hiyo sport pesa
Nielimishe mkuu nipe darasa. Kampuni iliyokuwa tayari kuwekeza mabilioni kujitangaza sidhani kama unaweza kuiita ya kishamba. Hizo kampuni zina shida gani hasa ukiacha labda kutokuwa na options nyingi za michezo?QUOTE="Mr Money5, post: 51237163, member: 667994"]
Hamna nimeuliza tu maana m bet ndio kampuni la kishamba ikifuatiwa na hiyo sport pesa
Unayoeleza ni huenda ni kweliBila kusahau kwamba kampuni hizo ndio zinaongoza kwa kudhulumu ukiwapiga parefu
1xbet ndio kampuni mama, hizo zingine zote zinatumia template na server za 1xbet
Zimejaa ujanja ujanja mwingi sana kuliko maelezo
Hapa Bongo alianza 1xbet akasepa na hela zetu kwa kutoa mobile payments
Akaja 22bet akaja na hadithi hizo hizo akasepa na mpunga wa watu
Akaje Helabet sasa hivi kabaki tia maji tia maji kuweka hela na kutoa ni issue
Kaja Paripesa, kuna mitandao inanjia ya kuweka pesa tu, ukishinda hakuna njia ya kutolea unaambiwa utoe kwa njia uliowekea
Mwaka huu hauishi Paripesa atakua kapotea
Sasa hivi 1xbet karudisha mobile payment kinyemela hajasajiliwa na bodi muda wowote kitabuma..... bora kutumia wakala ni uhakika ila kuna usumbufu
Bado kuna Betwinner pia
Kuwa makini sana na makampuni ya kirusi
Sio kama nayaponda hata mimi natumia 1xbet kwasababu ya wingi wa machaguo na app yao ni super
Zipo nyingi tu za kirusi unaweka pesa unayotaka hata mil 100, 200, 300 na kuendeleaKuna betting company gani zinazooperate hapa bongo zinaruhusu kiwango hiko cha stake? Nyingi zinaruhusu mwisho milioni 3.
Kibongo bongo unapokuwa na cash money ya kuanzia 50 mlns na unaendelea kubet basi utakuwa na shida.
Mkuu labda tunatofautiana mitazamo ndiyo maana nimekuuliza uwe specific ni kitu gani kilicho bora kwenye sporty bet ambacho hao wengine hawana ukiacha wingi wa mechi na aina za michezo.Mzee umeanza kubeti juzi nini sikia. Download sporty bet halafu fananisha na hiyo m bet ndio utajua utofauti wake mpaka tukaziuta za kishamba
Kama unaweka stake kubwa basi epuka Madrid akiwa "away" kwenye la ligaReal Madrid na Yanga watanitajirisha sana msimu huu. Simba bado haina muunganiko 🤣😂🤣
Ni nani huyo?Kama unaweka stake kubwa basi epuka Madrid akiwa "away" kwenye la liga
Watu wanashindwa kujua kwa nn kuna watu sasa hivi Wana fujo sana mtaani ikiwa shughuli zao hazijulikani. Yule chief anajiita tajiri huko insta ndio michezo yake, anaweka stake kubwa kubwa Sana alafu anajifanya anapata pesa kupitia freemason kumbe ni mkamaria a.k.a afisa ubashiri
Sijaelewa swaliNi nani huyo?
Huyo chifu wa Insta anayejiita tajiriSijaelewa swali
Ata akiwa home muangalie sana anacheza na nani,home pia anazinguaga akikutana ka kina gironaKama unaweka stake kubwa basi epuka Madrid akiwa "away" kwenye la liga
Watu wanashindwa kujua kwa nn kuna watu sasa hivi Wana fujo sana mtaani ikiwa shughuli zao hazijulikani. Yule chief anajiita tajiri huko insta ndio michezo yake, anaweka stake kubwa kubwa Sana alafu anajifanya anapata pesa kupitia freemason kumbe ni mkamaria a.k.a afisa ubashiri
Ni nani huyo?
Yule godloveHuyo chifu wa Insta anayejiita tajiri
Akiwa home huwa ni shughuli nyingineAta akiwa home muangalie sana anacheza na nani,home pia anazinguaga akikutana ka kina girona