Liverpool vipi mkuu?ODDS 13
AAJAWAHINIANGUSAGAA
JUV W
ALAVES W
R MADRID W
CHELSEA WIN
FLORENTINA W
B.MUNICH W
WEKA.MKE NA WATOTO
Mkuu kwa uzoefu wangu, hiyo hela itawekwa kwenye akaunti yako ya kubetia na wewe utaweza kutoa kidogo kidogo. Kampuni za Mrusi huhitaji kwenda kwenye ofisi zao. Na hata Sportybet ukishinda hela nyingi hawawezi kukuambia uende ofisini kwao, bali hela itawekwa kwenye akaunti yako na utaweza ku withdraw kidogo kulingana na uwezo wa laini yako kupokea fedha. Mfano Kama laini yako inaweza kuhifadhi milioni 2, basi uta withdraw milioni mbili, utatoa kwa wakala au uta transfer kwenda benki wewe mwenyewe.Mm naomba kujua Kwa mfano mtu ameshinda milioni 100+ au 200 na zaid
Anawezaje kutoa hiyo pesa?
Njia gani zinatumika kutoa maana najua line ya simu haipokei zaidi ya m10.
Trick game ukiweza achaLiverpool vipi mkuu?
Kwa betpawa unaongea na huduma kwa wateja hela yote wanaiamishia kwenye account ya bank hata kama ni million 200Mkuu kwa uzoefu wangu, hiyo hela itawekwa kwenye akaunti yako ya kubetia na wewe utaweza kutoa kidogo kidogo. Kampuni za Mrusi huhitaji kwenda kwenye ofisi zao. Na hata Sportybet ukishinda hela nyingi hawawezi kukuambia uende ofisini kwao, bali hela itawekwa kwenye akaunti yako na utaweza ku withdraw kidogo kulingana na uwezo wa laini yako kupokea fedha. Mfano Kama laini yako inaweza kuhifadhi milioni 2, basi uta withdraw milioni mbili, utatoa kwa wakala au uta transfer kwenda benki wewe mwenyewe.
Link Ya PARIPESA Hii Hapa๐๐Paripesa nipe link tafadhali