Jodoki Kalimilo
JF-Expert Member
- Feb 12, 2012
- 12,559
- 11,180
Vipi na picha wanakupiga? Au wameacha hayo mambo yakuchoreshana?Kwa betpawa unaongea na huduma kwa wateja hela yote wanaiamishia kwenye account ya bank hata kama ni million 200
Inaelekea train lako limebakiza timu chache li-tick, unajiandaa namna ya kuvuta mzigoMm naomba kujua Kwa mfano mtu ameshinda milioni 100+ au 200 na zaid
Anawezaje kutoa hiyo pesa?
Njia gani zinatumika kutoa maana najua line ya simu haipokei zaidi ya m10.
Makurujuan watamfanya nini jamani tena na mie nijiandae kisaikolojiaUnapata ofisin mkuu hakuna kampun inaweka hio hela hakikisha unaenda na baibo ama quran usikutane na makurujuan njian...na infact wanakuwekea kwa bank acc
Tenda wema nenda zako usingoje shukrani mkuuπππNyie watu mnaotangaza makampuni na tunajaza promo code zenu, mkiwa mapata gawio na sisi mtukumbuke walau buku 2 mbili za vocha.
Lazima iwe win win situation. Wao wanatumia pesa "bandia", sisi tunatumia pesa za kutoka mfukoni.Tenda wema nenda zako usingoje shukrani mkuuπππ