Mikeka: Wazee wenzangu wa kuweka mzigo, karibuni tubashiri mechi za leo

Edit ur test
 

Attachments

  • 1725603024581.jpg
    153 KB · Views: 4
Kwa mpira waliopiga Cape Verde kwenye AFCON sijaelewa kwa nini wamepewa nafasi ndogo leo ya kumsumbua Egypt.

Tena hao hao CV waliwahenyesha Egypt AFCON pamoja na kupanga kikosi chao B.

Hiyo siyo mechi ya kuiwekea dhamana
 
Dr Congo VS GUINEA (1)
SA vs Uganda(1)
Morocco VS gabon(1)
Belgium VS Israel(1)
France VS italy(1)
Egepty vs Cape verde(1)
Ivory Coast vs zambia(1)
Senegal vs Burkina faso(1)

Nataka niweke 5000 nile 183000...itatoa?
France
Congo jaribu kuweka D chance.
 
Unaweza weka single ama combine
At ur own test
 

Attachments

  • 1725605886296.jpg
    68 KB · Views: 3
  • 1725605763221.jpg
    85 KB · Views: 2
Weka zote und 4 .5
Pumzika
Haya nataifa hayana adabu
Dr Congo VS GUINEA (1)
SA vs Uganda(1)
Morocco VS gabon(1)
Belgium VS Israel(1)
France VS italy(1)
Egepty vs Cape verde(1)
Ivory Coast vs zambia(1)
Senegal vs Burkina faso(1)

Nataka niweke 5000 nile 183000...itatoa?
 
hapo kwenye dir win zote
Cheza win or drw
 Rest
 

Attachments

  • 1725607280373.jpg
    118.4 KB · Views: 2
kidanitips
 

Attachments

  • 1725607461091.jpg
    107.4 KB · Views: 2
Mkeka wangu nahitaji usomeke hivi kwa elfu 30
1. Belgium-win
2. Congo DR-WIN&OVER 1.5
3. SOUTH AFRIACA-WIN & OVER 1.5
4. ROMANIA U21-OVER 1.5
5. SWITZERLAND U21-OVER1.5
6. REAL MADRID W-OVER 1.5
7. MOROCCO-WIN
8. MALI-OVER 0.5
9. NORWAY-OVER 1.5
10. PARNDORF-OVER 0.5 1HF & 0.5 2HF
TOTAL ODDS: 36.7
Naombeni mawazo yenu kabla ya kubandika.
 
Lose
 
drw ya leo
 

Attachments

  • 1725611699860.jpg
    73.4 KB · Views: 2
naona national teams kibao.
national teams ni hatari kwa direct win hata DC, ziondoe
 
Wakulungwa nina swali dogo. Nisingependa kutengeneza nyuzi mpya kwa jambo ninaloweza kuuliza ndani ya uzi mwingine.

Kwa nini Morocco anacheza mechi za qualification wakati anaenda kuhost AFCON yeye mwenyewe? Imekuwa hivi siku zote?
 
Dy
 

Attachments

  • 1725621564859.jpg
    431.4 KB · Views: 3
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…