Mikeka: Wazee wenzangu wa kuweka mzigo, karibuni tubashiri mechi za leo

2.00
Switzerland u 19 w
R Madrid w
Eindhoven ov 2.5
Mxb
 
6.00
NORWAY W
BELGIUM OV 2.5
Cooombia w
Uruguay w
 
Ser naona siku mbili hizi gimbo zimekukoa. Kila mkeka ulioleta hapa jukwaani mwindi kauchoma. Na naona ushaanza kupoteza nidgamu uliyokuwa nayo. Nimeona hapo juu umeweka mkeka wenye odds 380+ huku ni kukosa nidhamu.
Rudi njia kuu.
Mkuu, kuna mikeka nimetuma ya Odds 4 PARIPESA, lakini pia siyo vibaya kuweka Mkeka wenye odds nyingi mara moja moja.
 
Mkuu, kuna mikeka nimetuma ya Odds 4 PARIPESA, lakini pia siyo vibaya kuweka Mkeka wenye odds nyingi mara moja moja.
Hivi mkuu mfano ngoma inaenda mpaka cash out inasoma million 10 unapata wapi moyo wa kuendelea kumvumilia aisee nasaka kampuni ambalo halina cash out nitengeneze keka lefu kama hivyo halafu nitie mzigo wa maana siku Moja Moja unamjaribu Kwa odds nyingi kama hivyo
 
Hivi mkuu mfano ngoma inaenda mpaka cash out inasoma million 10 unapata wapi moyo wa kuendelea kumvumilia aisee nasaka kampuni ambalo halina cash out nitengeneze keka lefu kama hivyo halafu nitie mzigo wa maana
Mkuu Cashout ni nzuri. Kwa mfano Kama mimi nikiona Cashout inasoma milion 10 kwenye Mkeka Huo Hapo Juu nitatoa. Nakuwa nimetengeneza faida nzuri.
 
Mkuu Cashout ni nzuri. Kwa mfano Kama mimi nikiona Cashout inasoma milion 10 kwenye Mkeka Huo Hapo Juu nitatoa. Nakuwa nimetengeneza faida nzuri.
Sasa ikatokea mkeka umewini halafu inakuaga inabakia timu 2 si roho inauma kukosa million 5
 
Aisee Mimi natafuta kampuni ambayo Haina casho out ingenijengea nyumba ya maana ningekua naweka mizigo ya maana halafu odds nyingi maana hizi za cashout unaingia tamaa sana
Mkuu Cash Out sio nyepesi kama unavyodhania

Cash out haiji tu kwasababu labda katika game 20 game 18 zimetoa bado game mbili.... NOPE

Odds huwa zinawakilisha asilimia ya ushindi, Odd kubwa maana yake asilimia ndogo ya kushinda na odd ndogo maana yake asilimia kubwa ya kushinda.
ili upate cash out nzuri ni lazima game zilizobaki ziwe na asilimia kubwa ya kushinda ndio utapewa cash out nzuri vinginevyo hupata au itakuja ndogo sana

Mfano katika game 2 zilizobaki kati ya game 20 kuna game ya Yanga Vs Dodoma halafu wewe ulichagua dodoma ashinde odd 6...... hapo sahau kupewa cash out maana asilimia za Dodoma kushinda ni ndogo sana
Lakini kama ulimpa Yanga win odd 1.2 hapo utapewa cash out nzuri

Na msingi wa cash out ni kumshawishi mkamalia kulipwa kidogo ili asiache mkeka wote ukatoa akalipwa parefu pale mkeka unapokua na nafasi kubwa ya kushinda....... huu ndio MSINGI wake zingine ni mbwembwe tu.

Kwanza kupata tu hiyo cash out kwa mkeka wa game nyingi sio shughuli ya kitoto ujue
Utakuta game ya kwanza tu au ya pili mkeka chaliiii😂 halafu kuanzia hapo game zote zinatoa 😳

Sidhani kama ni sahihi kudhani kwamba eti cash out ndio kikwazo cha kumpiga bookies
 

MKEKA WA SIKU KWENYE PARIPESA

Booking Code: R89RE

Huna Akaunti Ya PARIPESA? Jisajili PARIPESA Kwenye Link Hizo Hapo Chini Na Sehemu Ya Promo Code Weka TIPS2424 👇👇.

PariPesa

PariPesa

PROMO CODE👉 TIPS2424

Pata Bonus Ya Mpaka TZS 250000 Kama Utajisajili Na Kuweka Promo Code TIPS2424 Kisha Deposit Kupata Bonus Yako.
 
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…