Yes, RejectedUmejaribu kutoa leo hii na unasumbua mtandao?
SafiiiView attachment 3097934Ya supu kabla ya kuichambua UEFA .
Nimetoa leo tangu saa 11 hadi sasa hivi kimyaaaUmejaribu kutoa leo hii na unasumbua mtandao?
Hiyo kampuni ni ya Kitapelii nenda nayo kwa akili sana walishapoteaga na ela yangu maswala hayo hayo ya kutoa halafu ela haifiki katika akauntiHii kampuni kwenye kutoa hela inasumbua sana
Sgr low stress odds 62Sgr la umeme low stress
Sportybet E1894E
Hapo subiria saa 24 wataurudisha then utoe tena, mimi mwenyewe juzi walinipagawisha kinomaNimetoa leo tangu saa 11 hadi sasa hivi kimyaaa
Nimewaambia kama wanafanya biashara za kitapeli waseme. Nimewaambia kwanini wana process Deposit haraka halafu wanazingua kutoa? Nasubiri majibu yao hapaHapo subiria saa 24 wataurudisha then utoe tena, mimi mwenyewe juzi walinipagawisha kinoma
Kampuni Gani hiyoNimewaambia kama wanafanya biashara za kitapeli waseme. Nimewaambia kwanini wana process Deposit haraka halafu wanazingua kutoa? Nasubiri majibu yao hapa
Subiria narudi nazo muda sio mrefuNahitaji odd 15 wadau
Kesho kutwa natakiwa kwenda ukweni
Nisaidieni mkeka wa leo
Natanguliza shukurani
Anha poah KakaHapo subiria saa 24 wataurudisha then utoe tena, mimi mwenyewe juzi walinipagawisha kinoma
Waelekeze mkuu wanazinguaNimewaambia kama wanafanya biashara za kitapeli waseme. Nimewaambia kwanini wana process Deposit haraka halafu wanazingua kutoa? Nasubiri majibu yao hapa
Nimewaambia nasubiri majibuWaelekeze mkuu wanazingua