Mikeka: Wazee wenzangu wa kuweka mzigo, karibuni tubashiri mechi za leo

chelsea na mwenzake wanacheza netball[emoji849][emoji849][emoji849]
 
Kituo kinachofwata ni Arsenal baada ya kutoka kituo Man city Leo ndio leo
 
Hizi akili gani unaweka hela yote hiyo city akicheza na new castle bora ingekua Southampton alafu yuko away
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…