Mkuu Tuendelee Kumtafuta Kanji Na Amini Msimu Huu Tutapiga Sana Hela Kwenye Basketballπ.Umelisha mitaa mwambaπ
Nakubali sana mkuu, uwezo mkubwa sana unaonesha, ninacho kipata ni kikubwa sana kupitia tips zako kamanda1π€π€Mkuu Tuendelee Kumtafuta Kanji Na Amini Msimu Huu Tutapiga Sana Hela Kwenye Basketballπ.
Hazipo hizo za uwakika , hakuna aliyepo uwanjani , wote wapo kwny keyboard za JFMwenye odds za sporty za uwakika dondosha handle
Hazipo hizo za uwakika , hakuna aliyepo uwanjani , wote wapo kwny keyboard za JFMwenye odds za sporty za uwakika dondosha handle
Za Jioni 47 saaafiNaomba maoni game za jioni kabla ya Usiku
Hongera mkuu mawazo yako yalikuwa sahihi, ulifanya uchambuzi nomaZa Jioni 47 saaafi
ODDS ngapiMwenye odds za sporty za uwakika dondosha handle
Za Jioni 47 saaafi
KAbla ya leo mashujaa alicheza mechi 4 na alikuwa na goli 4Ila Risk kubwa sana,
Odds 1.5 una risk 100k.
Timu zenyewe za Kibongo hizi.
Jamaa kakaza sana Roho, big up.
Apo kwny under 3.5 afu gemu 3-0 chupuchupu, mi ndomana nachezaga over kuzuia yataka moyo afu presha kinoma , Yani Bora nisubiri goli ila sio kuzuia , Big upZa Jioni 47 saaafi
Alafu unaweza sema alikuwa akikusubiri wewe uweke tuIla kubet ni noma sana ... Yaani nimechagua sare ndani ya dakika 10 za mwanzo ..... Kasimpasa mapemaaaa dakika ya kwanza tu kaweka aseeee.....
Odds miatatu,,,, kkmk wallah kuna majitu yana zali aiseeAfanyaje hapa?
1. Cashout 1m, aache 2.6m?
2. Ampe Crystal Palace mazima kwa stake kati ya 200,000 - 500,000? Crystal Palace asiposhinda bado atakuwa na faida isiyopungua 2.1m
Aende na option 1 au 2?
Mhindi bhana we mwache tu,,,, maana kuna matokeo huwa yanakuja unashindwa kusimama wala kukaaNgumu sana kwa palace kutoboa hii mechi