Mikeka: Wazee wenzangu wa kuweka mzigo, karibuni tubashiri mechi za leo

Ukiwatoa kina city, Liverpool arsenal Chelsea, Kuna mashine hizi hapa Newcastle, Brighton, Aston villa, GG ya arsenal inatoa hapo, pia Kuna GG ya Liverpool kule na Brighton
 
Aseno kama mnashindwa kufunga na mfungwe lingine tu ili tupate over 1.5 😂
 
Mechi ya arsenal nimeweka offside 2 tuuh lakini mpka sasa 0 , kwa mikimbizano ya hii mechi ilitakiwa iwe na offside za kutosha
 
GG unafanya Kamari kama Michezo ya kina Mama ya Nage

Pesa ipotee kiboya

Sasa ukiweka liVe GG unapata nini cha maana hapo unless uweke kuanzia Elfu 50,000 na who can take that risk so easily

Ukiona imekupata tunasubiria tu Mechi iishe uanze upya otherwise siku ya kama ya Leo na kesho utandia hizo live score mpaka basi,maana bado vichapo vya kulalia
 
Unaendeleaje huko unadhani kanji bwege eeh.
Mkuu hizi sio comments za KIUNGWANA kabisa...... zinakatisha tamaa wanaotuma TIPs

Mtu anapotoa TIPS haimaanishi LAZIMA itoe, vinginevyo wakamalia tungekuwa mabilionea

Kama wewe ulikua unajua Kanji sio bwege hebu tuonyeshe bet ulio mnyima Arsenal goli na uka stake high upate hela?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…