Mikeka: Wazee wenzangu wa kuweka mzigo, karibuni tubashiri mechi za leo

Mtandao wako ndiyo wenye shida huko uliko. Mimi natumia PariPesa Na iko fasta sana. Pia kwa njia ninayo tumia kubet mimi Sportybet haifai kwa high stake. Angalia machaguo niliyo chagua mimi, halafu Angalia kama utayaona yapo Sportybet
Usikurupuke kusema mtandao wangu upo slow wakati websites na youtube zinafunguka kwa hali ya juu sana!
Labda ungesema "simu yako ina detect matapeli"
 
Usikurupuke kusema mtandao wangu upo slow wakati websites na youtube zinafunguka kwa hali ya juu sana!
Labda ungesema "simu yako ina detect matapeli"
Pole mkuu kwa kuwa na siku mbaya naona kila mtu unayekutana naye barabarani unamkasirikia. Pia kama website nzito download app ya PariPesa Kwenye Link Hii👉 https://cutt.ly/EwZzWppF mimi natumia app ya PariPesa Na siyo website. Labda ndiyo maana naona mtandao uko fasta. Pia hapa hakuna utapeli mkuu. Uwe na siku njema mkuu. Tumbamize mhindi leo.
 
Ahsante mwamba subiri nitesti app yao

KANJI ARUDI BOMBAY
 
Ndugu yetu real Madrid anataka kuanza sijui atakuwa na ukame wa mechi maana Ile alipigwa juzi mechi ikaairishwa, ana usongo sana
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…