Mikeka: Wazee wenzangu wa kuweka mzigo, karibuni tubashiri mechi za leo

Je naweza kutumia 365 bet ambayo haipo tz kwa njia za kudeposit... kuna option nimeipenda kule..
 
YAANI LEVERKUZENI KILA NIKIWEKAGA 2+ NAJIFANYA ANATAKA KUSHINDA GOLI 1 TENA JIONI ILI NICHANE DAH
 
Cha ajabu kila mkeka eti nilimuweka tena 2+....dah kanji leo anasaga pilipili tu
 
Kmmk khanji mchawi,kama Leverkusen angepata goli moja ningembabua vibaya mnoo! Dah!
 
Nacheki gem ya Newcastle hapa tayar kuna goli nne kipindi cha kwanza na iko open so wazee wa live ipeni jicho gem hii
 
Nacheki gem ya Newcastle hapa tayar kuna goli nne kipindi cha kwanza na iko open so wazee wa live ipeni jicho gem hii
Aaah,jicho gani mkuu? Kwangu Leverkusen kaondoka na salio kubwa sana. Kwa leo tulale mpaka kesho.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…