Kuna Loophole . Nimegundua leo.Na huo ndo ukweli,always the house wins
Kampuni gani mkuu5P2HTJ kipengele muhindi tu😂😂sb
Hii ni kweli mimi ilibidi nijipe likizo kidogo japo nilipanga miezi miwili ila ata kwa week 4 tu unarudi mzima zaidi hii kazi tulioichagua sio mchezo inaweza ikakuua😂😂Ukifikia hatua hii kwenye betting unatakia upumzike ku_bet kdg mkuu!!otherwise naona tatzo la afya ya akili linakujia
SportybetKampuni gani mkuu
Apk ya kampuni ipiNaipataje apk ya hii kampuni mkuu
Mechi imehailishwaNimempa simba leo..!