Aseee hii ngumu sana kumeza ππ€£ππ€£ππ€£πKwenye michezo ya kubet hata ukibet pundamilia aliwe na mamba utashangaa mamba ndo analiwa na pundamilia na mkeka unachanika π€£ππ©View attachment 3260912
inter ni jeshiUkimtoa liver, walipcheza ucl wote wanaenda zingua leo ka inter kala chuma mbili tayari sijui naye atapiga comeback ka ac milan?
Kuna ka jomba kameendaa MotoniNaona game ya barca wamepostond
Mkuu una furahia mimi kupoteza ila nikishinda una nuna? Acha roho mbaya mkuu. Maisha hayaendi hivyo.50k imefyekelewa mbali ππ
Samahani mkuu kama nimekukwaza, nilijaribu kuwaza kwa sauti, sina furaha kwa lose yako mkuu najua una fightMkuu una furahia mimi kupoteza ila nikishinda una nuna? Acha roho mbaya mkuu. Maisha hayaendi hivyo.
Mkuu una furahia mimi kupoteza ila nikishinda una nuna? Acha roho mbaya mkuu. Maisha hayaendi hivyo.
Niliwaambia ijumaa kulen pesa,jumamosi nitazichukua zote ππππIfike mahala tumalize tofauti zetu na kanji, maana saiv anakabia kwa juu sana
Niambie nani inamwaga kuimba ππkanji leo lazima nimmwage mavi atajuta
Hapana rafiki nakusanya kibunda nimpeleke watoto bombey ππMamaeee kanjibai leo anatukeketa kimya kimya leo watu hawatoi sauti sio kwa matokeo haya! Kanji apewe maua yake usipokaa sawa kanji anaweza kukuingilia kinyume na maumbile! ππ Kanji kama popobawa tu Yan hafaiiii