Mikeka: Wazee wenzangu wa kuweka mzigo, karibuni tubashiri mechi za leo

Mkuu una furahia mimi kupoteza ila nikishinda una nuna? Acha roho mbaya mkuu. Maisha hayaendi hivyo.
Kiongozi achana na hao wanga maana hawana sumu yeyote.................tupambane pale tuwezapo.
Ikiwa lost sawa tu...........na ninachoamini ni kwamba kuna siku mrusi tutamkalisha parefu tu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…