Mikeka: Wazee wenzangu wa kuweka mzigo, karibuni tubashiri mechi za leo

Dah biashara imekuwa ngumu sana yaani ngoja tuone weekend itasemaje
 
😆😆😆😆😆😆😆😆😆😆😆😆😆
 
Haya jamani mechi za kwanzia kesho mpaka jmosi..... kazi kwenu.......utajua pesa utakayo weka au timu utakayo punguza ila HII NI SPECIAL KWA MAKABWELA WENZANGU
 

Attachments

  • 1416464207456.jpg
    79.5 KB · Views: 106
Kuna timu ya kikapu mamaaaaa..... Wale jamaaa ------------ hatariii ...... Duh..... Quarter 29..2quarte 30 ....3quartr 29.... ---- la ------ ....wakaweka under/over 130.5.... Kimahesabu 4quarter walitakiwa kufika 42..... Quarter zote hawajafika 50.... Nkaweka 5000 duh.... Wamefika 55......... Maaaaayoooooooooo.........
 

hizi over na under za basket ni shida
 

Si hii iliyo isha 10:46
Yaani mi nilikuwa naomba over......
 

Hao wamenilamba na mimi, hafu mara chache sana mimi kula under. Angalau over inanitoaga.
 
mkuu mie sijuwi na nini na Basket, game zote za jana kuanzia asubuhi mpaka usiku saa kumi, nimeliwa game moja tu, Basket nakula sanaaaaaaa,

baada ya kuliwa soka......nkakesha na kikapu..kuanzia 700 ....mpaka nkafika 25..... huyu boya ndio kanila tangu usiku timu moja moja ...mechi ikiisha nahamia nyingine...mdogomdogo from 700 to 25000.... kikapu kinalipa kuliko soka.....ila inahitaji moyo hatari.. unakula fasta au unabutuliwa fasta.....
 
Wakuu kuna volleyball pia. Over zinatoaga sana katika set
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…