Mikeka: Wazee wenzangu wa kuweka mzigo, karibuni tubashiri mechi za leo

Jamani naombeni ushauri.
Nina 99000 meridian. Nataka mpa Chelsea Win and total goals 2.5+ mwaonaje wakuu
 
LEO UHAKIKA HIZI HAPA panathinaikos win
sporting braga win
rizespor win
juventus win
chelsea win
rb leipzig win
 
kuna mtu katusua milioni 17 huko..,,
 

Attachments

  • 1419272432096.jpg
    56.7 KB · Views: 2,114
Dah ngoja nianze kwenda vibadani kuanzia leo maana jana Chelsea pamoja na ushindi wao sijafurahia maana wameenda na 94000 yangu
 
Mkuu hao ni premier? Wao hawana limit?
Dah yaani 10000 kapata hela ya kiwanja tayari

Premier hawana limit aise ni utabiri wako tu hata milion 20 wanakupa..,,


du baharia huo mkeka tugawane

Ungekua wangu huu kwanza ningeuweka hapa kilingeni kabla ya matokeo..,,


Jaman tupe hata vocha vocha tu.

One day ntawapeleka wazee wenzangu tukapate mchemsho kabisa..,,


Dah ngoja nianze kwenda vibadani kuanzia leo maana jana Chelsea pamoja na ushindi wao sijafurahia maana wameenda na 94000 yangu

Usikate tamaa ndugu, mdosi nae anapataga hasara..
 
Dah! Pole mkuu kunasiku tutapga.
rahim_baharia
Dah mkuu iliuma sana yaani wamenibakizia 5000 tu.
Ila nahamia premier tena hizi mechi za Xmass ndo tamu sana. Lazima nile aisee.
Niliwala hela yao naona wameirudisha yote.
 
Last edited by a moderator:
Basketball imenipa pesa ya mbege mpaka nikitoka huku kuhesabiwa.. Mpira sina time nao
 
Basketball imenipa pesa ya mbege mpaka nikitoka huku kuhesabiwa.. Mpira sina time nao

Hebu type tips za kubet maana wengine tumezoea mpira hapo kwenye basketball tunapaonaga tu
 
Wakuu naomba nifahamishwe kidogo kwenye mambo ya combination....

Kwa mfano nimechagua match 10, kisha nikaeka combination 4/10, huwa naona chini inaandikwa min payout na max payout, naomba nifahamishwe inakuwaje? Maana nilieka moja min payout ilikuwa km 200 na max payout ilikuwa 123,000 ivi, nilieka comb ya 4/10 kwa bahati ikakubali lkn naona nimepata 200 na sio ile laki... Nifahamisheni plz
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…